Wakuu matusi ya nini tena nyie Arsenal siyo wa kwanza kufungwa. Man U Chelsea Man City wote wamechezea vipigo na hawajawahi kutukana
Tunahitaji forward tu...hii mechi Partey angekuwepo ingekuwa na wepesi kidogo... Georginho hawezi kupiga risk passes kabisa...yy ni mzee wa safe passes....alivyoingia Zinchenko ndo mipira ikawa mda wte mbele....kiukweli tuna safari ndefu ya kupambana na Man city
Hongera mkuu kwa kutupunguzia kelele mjini. Sasa hizi kondoo ni mwendo wa kuzipiga spana mpaka akili ziwakae sawaImekuwa partey akiwepo tena, na si arsenal ina kikosi kipana kama mlivyokuwa mnapeana false hopes sasa ndo muda kuwaonyesha jinsi gani mnapeana false hopes.
Yaani et partey angekuwepoivi mnafikiri ndo nyinyi tu mna majeruhi pekee yenu , sasa na sisi tukianza kusema bora angekuepo tonali, isak, barnes, botman , enderson na wengine kibao au tusingizie burns kaumia.
Timu kubwa inapimwa kwa fighting spirit iliyonayo na team inazocheza nazo ndani ya week 4 Newcastle kacheza na PSG, Dortmund, man city, man utd, westham , wolves na bado kafungwa game 1 tu still na injuries kibao .
Arsenal nyinyi hamna vyote team wala fighting spirit wala kikosi kipana mlichonacho nyinyi ni FALSE HOPE ONLY View attachment 2804049
View attachment 2804050
Acha kulialia mkuu , fanya ivii nembu unganisha hiyo picha hapo maana huna kazi za kufanya false hoper wewe
This is Arsenal.
And Arsenal is fvcking winning
Hongera mkuu kwa kutupunguzia kelele mjini. Sasa hizi kondoo ni mwendo wa kuzipiga spana mpaka akili ziwakae sawaView attachment 2804051
Newcastle wakisema tupishane, wanakufa nyingi
Nketiah start ur defenders are in trouble
Nyinyi kombe mtakalolipata ni kupishana tuwazee wa overlappp na kupishana.
Licha ya goal la kupewa la Newcastle but huwezi kuwa na Mid ya Jorginho na Kai utegemee maaajabu never ever haitakaa itokee tumeshapiga Grants na wadau maumivu tutakutana nayo morning tulishajua what will happen
Mkuu mmesababisha matusi yamwagike humu leo.
Arteta anakomaa na Havart kwasababu kapigwa pesa pale, ila Havart sio mchezaji wa kusaidia Arsenal au wa kucheza Arsenal
Hii game hapana.
Nyukesto on target ni ile moja tu mpaka dakika ya 60+ ambayo ilikua wameangalia kama mpira umetoka, wameangalia kama ilikua offside na wameangalia ikiwa Gabriel alifanyiwa faulo.
Na vyote vikawa cleared.
Bruno hakutakiwa kua uwanjani tangu kipindi cha kwanza yellow inakuja kutolewa dk ya 80
Game ilikua ya kipuuzi kwaajili ya refa
Huyu wa nyukesto mbona haijibu hii?
Not all hope is lost.
Jorginho ni mpiga pasi mzuri na ana vision. Tuombe Forwards ziwe on point kuona hii mipira.
Mipira ipi hiyo anayopiga Jorginho mkuu
Spurs mimi naeza mpiga nje ndani ila kwa saabu yenu nyie vidomo domo itabidi tuuze iyo gemu ๐๐๐Huna timu ya kumzuia Spurz acha habari za et tutauza