Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Antony hana pace, tunahitaji mchezaji kama Saka anayecheza kwenye isolation role, quick enough to beat his man in 1v1, Cutting inside from the RW, anayeweza kucheza kwenye both wings, left footed right winger.
Watu Anthony mlikuwa mnamjua kabla hata nyumbu hawajapigwa €100m
 
Uliona mbali
 
Mbona ipo ivyo kitambo tu?
 


Alizungukwa na KDB, Foden, Gundogan, Silva, Sterling hakufunga mpaka achoke.

Huko anaenda kucheza na Odergaard, Saka, Nketiah, Pepe, Rowe na hiyo skeleton mlotoka kuisajili. Ngoja tuone atakapofunga mpaka achoke
Mlikuwa na dharau Sasa hivi majukwaa yenu yakiguswa kidogo mnatokwa mapovu
 
Wakati mwingine waga mnapenda kujitoa ufahamu hadi ufahamu wenyewe unashangaa...!

Kwahiyo wewe na Akili zako timamu unadhani Jesus hawezi Kufunga goli 5 pale EPL? au kwakuwa nawewe tu ume comment roho yako iridhike
Huyo Hana akili
 
Uliona mbali Sana
 
Uliona mbali ndugu
 
JUST IN from @FabrizioRomano:

Negations will continue between Arsenal and Martin Ødegaard for a new, long-term contract in the coming weeks, months.
 
Zinchenko ameshawapiga England kamba

Anacheza kama No.8/10

Huku Arsenal Ni LB

Ukisia Wachezaji versatility na vipaji ndio Hawa sasa
 
Huyo dogo hapo na mpira ana miaka 14, na tayari alikuwa anafanya mazoezi na timu ya wakubwa..

Ni shabiki gani wa Arsenal hajawahi kumlilia Jack Wilshere?

Ipo makala ina kichwa cha

Started early, ended early

mwandishi aliandika kwa uchungu mno kuhusu hichi kipaji..


Leo Arsenal tuna kipaji kingine Ethan Nanweri anatajwa Kama mrithi wa Wilshere ,ametimiza miaka 16 juzi tu Lakini ameshacheza mechi moja ya EPL amekuwa akifanya mazoezi na senior team .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…