mwanauvinza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 365
- 1,060
Hivi huo Mpira huwa mnaangalia ninyi wenyewe??Kai ana-upgrade nini pale Arsenal??anaongeza kipi kama si kupunguza??aiseeeThat's modern football
Kai anaenda upgrade mzuri wa xhaka, why? Because Kai ana nyambulika na ni mwepesi kuliko alivyokua xhaka

kwamba Kai ananyumbulika na mwepesi kuliko Xhaka??huu uchambuzi wa wapi??Mpira ni mchezo wa wazi,huko kunyambulika kwa Kai ni kupi??au mimi sijui mpira wakati enzi zangu nilicheza mpaka Lipuli ya Iringa,kwamba Kai ka-upgrade na ananyumbulika
hii mpya kwa kweliKwamba Kai ana press

kweli humu JF kila mtu anaingia na Akili zake

Arteta on Kai Havertz:






USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY
Tuzungumze mpira kidogo tactical terms je Declan Rice ni kiungo wa Aina gani?