Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

That's modern football

Kai anaenda upgrade mzuri wa xhaka, why? Because Kai ana nyambulika na ni mwepesi kuliko alivyokua xhaka
Hivi huo Mpira huwa mnaangalia ninyi wenyewe??Kai ana-upgrade nini pale Arsenal??anaongeza kipi kama si kupunguza??aiseeekwamba Kai ananyumbulika na mwepesi kuliko Xhaka??huu uchambuzi wa wapi??Mpira ni mchezo wa wazi,huko kunyambulika kwa Kai ni kupi??au mimi sijui mpira wakati enzi zangu nilicheza mpaka Lipuli ya Iringa,kwamba Kai ka-upgrade na ananyumbulikahii mpya kwa kweli
Kwamba Kai ana presskweli humu JF kila mtu anaingia na Akili zake
 
Acha upigaji ramli ndio maana tuliwakanda sababu ya mdomo

Arsenal Hatuwez kumng'ang'ania Pepe wakati haendan na mfumo wa mwalimu ,Hatuwez ku demand Bei kubwa abaki aongeze quantity kikosini


Sisi sio mnayumbu mmeshindwa kuvunja mikataba ya kina magwaya ,makitominay, Anthony masebene,masho,,Sancho, mna demand pesa kubwa halafu wanaishia kujaza nafasi mnasajili kina Evans


Arsenal ya Mikel haioni shida kukuvunjia mkataba Kama huitajiki ,uliza kina Ozil,Auba walivunjiwa mikataba ,tungekuwa na akili Kama za 7hag had leo kina Ozil, Auba,lacazette, mustafi wangekuwa wachezaji wa Arsenal,Kama Phil Jones,magwaya walivyodumu manjesta
Jibu mujarabu kabisa....
 
Binafsi namuona Kai kwenye vivuri vya ozil

Tutumie double 8 (ode na Kai)
Single pivot (Rice)
Tisa asimame Jesus or nketiah, so far wote wapo vizuri

Positional player Kai na Jesus/nketiah watakua Wana press

Kwenye kushambulia Kai na ode as advanced Midfielders
Huku zinny akija ku-overload kwenye dimba akiungana na rice
Kai na odegard kaziyao ni kutafuta vyumba
Shoots outside the bx, Kama goal alilopigwa nyumbu juz
Assists

From my perspective
Kabisa unamfananisha Kai na OZIL??khaaaaaaahatari sana
 
Nketiah alikua amtuhumu Cebalos hajitumi, kwaio yupo kwa maslai zaid
Kuna day kwenye warm up, nketiah alimuingia rafu ya kimakusudi Cebalos, wakashikana mashati. Uzuri waliamuliwa, clip ilizagaa sana
japo nketiah alikuja kuomba msamaha.
Kai hajitumi pia,nae agongwe ngumi tu mpuuzi yule,LEGELEGE kama MLENDA,anabebwa na ARTETA tu lakini ni MTUMISHI hewa,hatafikisha magoli 5 labda Penati zote awe anapewa yeye,lakini kwa magoli ya move hakuna kitu pale
 
Unakumbuka mech na Everton mwaka Jana walitunyanyasa sababu ya mipira ya juu

After international break tunaenda kwao ,Sean Dyche Kama kawaida atatumia mipira ya juu

Sitashangaa hiyo mechi Kai akaanza Tena Kama LCM kivuli kusaidia false 9,
Hata mimi hilo jambo nimeliwaza. Na nataka iwe hvyo
 
Hivi huo Mpira huwa mnaangalia ninyi wenyewe??Kai ana-upgrade nini pale Arsenal??anaongeza kipi kama si kupunguza??aiseeekwamba Kai ananyumbulika na mwepesi kuliko Xhaka??huu uchambuzi wa wapi??Mpira ni mchezo wa wazi,huko kunyambulika kwa Kai ni kupi??au mimi sijui mpira wakati enzi zangu nilicheza mpaka Lipuli ya Iringa,kwamba Kai ka-upgrade na ananyumbulikahii mpya kwa kweli
Kwamba Kai ana presskweli humu JF kila mtu anaingia na Akili zake
Weka chuki kwa Kai pemben aisee, nenda kaangalie vs City Kai akitumika Kama CF alivyokuwa ana press , sio kweli kwamba Kai anapangwa bila sababu ,

Mwenye mpira Kuna small details ndio vinazingatiwa Sana

Hivi unajua Kai anaongoza kufanya movements, Aerial duels, distance covered , kufanya positional play, hizi Ni details ambazo Ni ndogo lakin modern football ndio wanazingatia Sana

Wengi tutakimbilia Passing,kufunga

Lakin nakuhakikishia mpira wasasa unazingatia Sana small details ,

Nakupa hii Kwanini Ni Arsenal na Mancity ndio zinacheza double 8/10 4-3-3 kwa ufasaha ,Timu nyingine zikajaribu zinapwaya
 
Weka chuki kwa Kai pemben aisee, nenda kaangalie vs City Kai akitumika Kama CF alivyokuwa ana press , sio kweli kwamba Kai anapangwa bila sababu ,

Mwenye mpira Kuna small details ndio vinazingatiwa Sana

Hivi unajua Kai anaongoza kufanya movements, Aerial duels, distance covered , kufanya positional play, hizi Ni details ambazo Ni ndogo lakin modern football ndio wanazingatia Sana

Wengi tutakimbilia Passing,kufunga

Lakin nakuhakikishia mpira wasasa unazingatia Sana small details ,

Nakupa hii Kwanini Ni Arsenal na Mancity ndio zinacheza double 8/10 4-3-3 kwa ufasaha ,Timu nyingine zikajaribu zinapwaya
Anyway kila mtu ana Akili yake JF,kwangu Kai ni MZIGO tu kama mizigo mingine ya embe
 
Kai hajitumi pia,nae agongwe ngumi tu mpuuzi yule,LEGELEGE kama MLENDA,anabebwa na ARTETA tu lakini ni MTUMISHI hewa,hatafikisha magoli 5 labda Penati zote awe anapewa yeye,lakini kwa magoli ya move hakuna kitu pale
Nakuhakikishia hakuna mchezaji anayecheza Arsenal hii kwa kubebwa


Arteta on Kai Havertz:

"I tell you what I feel about him. I love him and I see his qualities every day in training.”

Via @SamJDean.
 
Anyway kila mtu ana Akili yake JF,kwangu Kai ni MZIGO tu kama mizigo mingine ya embe
unanifurahisha yaani wewe umeshamkataa kabisa ,

Mikel Arteta issued a passionate speech to the defence of Kai Havertz during his press conference last week

The boss tells the Arsenal fans to lay off the player and show him love as only then will we see the best version of Kai Havertz.

Mikel Arteta on Kai Havertz: “I tell you what I feel about him - I love him and I see his qualities every day in training.

“It is difficult to ask more of our supporters and our people, but my feeling is: give him love and we will get the best out of him.”
 
Gabriel Martinelli is now valued at £150m according to @CIES_Football

It means Gabriel Martinelli is now ranked the 7th most valuable player in world football.

The winger cost Arsenal just £6million from the fourth division of Brazil. Bargain.
IMG-20230904-WA0008.jpg
 
“I went to the training ground recently. Everyone had the day off, but he was in!”

“That’s why he plays every week. Everyone likes him, even if you don’t like Arsenal.”

Ray Parlour outlines why Bukayo Saka is so popular and how he’s a huge asset for #AFC.
20230906_004343.jpg
 
Weka chuki kwa Kai pemben aisee, nenda kaangalie vs City Kai akitumika Kama CF alivyokuwa ana press , sio kweli kwamba Kai anapangwa bila sababu ,

Mwenye mpira Kuna small details ndio vinazingatiwa Sana

Hivi unajua Kai anaongoza kufanya movements, Aerial duels, distance covered , kufanya positional play, hizi Ni details ambazo Ni ndogo lakin modern football ndio wanazingatia Sana

Wengi tutakimbilia Passing,kufunga

Lakin nakuhakikishia mpira wasasa unazingatia Sana small details ,

Nakupa hii Kwanini Ni Arsenal na Mancity ndio zinacheza double 8/10 4-3-3 kwa ufasaha ,Timu nyingine zikajaribu zinapwaya
Utaongea yoote my brother but in reality KAI ni mzigo mzito kwa Arsenal wote ni Arsenal fans but tusijitoe akili kwenye ukweli usemwe huyo KAI since yupo Chelsea ni player wa kawaida hata wakati tunamnunua my friends,relatives hata Chelsea fans duniani hakuna aliyeshtuka KAI kuja kwetu walichoshangaa ni kitu gani Arsenal Imekiona kwa KAI so usimpambe aonekane ni bora ukitoa goal lake la final vs Manchester City in champions league KAI hajawahi kuwa player tishio abadani

Nenda kwenye pages za Chelsea hata JF jukwaa la Chelsea uone kama kuna wadau wamemmis KAI kwa alivyoondoka mbona wadau hawamsemi Trossard?JIULIZE
 
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

Tuzungumze mpira kidogo tactical terms je Declan Rice ni kiungo wa Aina gani?

kwa Mahojiano yake hivi karibuni amewahi kukiri yeye ni Defensive midfielder (DM) yupo confortable sana kucheza 6

Ila kwa ubora alio nao Declan Rice anaweza kucheza nafasi zaidi moja ( Multiple position ) kwa ufanisi mkubwa mno

Wachezaji kariba hii wanao cheza nafasi zaidi moja uwa ni uti wa mgongo kwenye unyumbulifu wa mfumo kiuchezaji na kimbinu ( Tactical flexibility)

Ukitaja moja kati ya Viungo ambao ni ball carriers wazuri huwezi Kumkosa Rice anatoka na mpira chini adi juu

Kwa misingi hii Rice anaweza kucheza kama DM hapo hapo akacheza kama Box to Box faida yake tuliona game united

Rice kwenye moja ya Basics za Mpira tunahita decision making ( Maamuzi) ya wapi awepo kwa wakati upi wapi afanye block , wapi Acheze tackling inamfanya kuwa moja kati DM bora epl hapo

yote hiyo inamsaidia kusoma mchezo kwa urahisi kuna watu walijenga hofu kama anaweza kucheza lonely pivot

Game United akaonesha ni swala ambalo lipo ndani uwezo wake kiuchezaji ili ushinde eneo la kiungo lazima uwe na kiungo mwenye maamuzi akiwa na mpira ata asipokuwa nao

Rice ana offer ubora mwingi kwenye nafasi tofauti Multiple positions hivyo kupunguza limitations kwenye aina yake uchezaji

hapa Arsenal tulipata Wachezaji watatu ndani mchezaji 1 muda utaongea zaidi

NOTE: Uwepo wa Zinchenko ni sehemu kubwa ya mafanikio kwenye build up asa second phase 3-2-2-3

Amigo adios hermanos
 
Utaongea yoote my brother but in reality KAI ni mzigo mzito kwa Arsenal wote ni Arsenal fans but tusijitoe akili kwenye ukweli usemwe huyo KAI since yupo Chelsea ni player wa kawaida hata wakati tunamnunua my friends,relatives hata Chelsea fans duniani hakuna aliyeshtuka KAI kuja kwetu walichoshangaa ni kitu gani Arsenal Imekiona kwa KAI so usimpambe aonekane ni bora ukitoa goal lake la final vs Manchester City in champions league KAI hajawahi kuwa player tishio abadani

Nenda kwenye pages za Chelsea hata JF jukwaa la Chelsea uone kama kuna wadau wamemmis KAI kwa alivyoondoka mbona wadau hawamsemi Trossard?JIULIZE
Mimi naomba nikupinge Wewe muchezaji gani umewahi mkubali humu hata wakifanikiwa hujawahi kuomba msamaha
Time to just let Kai Havertz get on with his Arsenal Career without all this nonsense talk about whether or not he is a flop or not.
Yes he has missed placed a couple of passes, Yes he should of scored on a couple of occasions, but he hasn't been the only one. Give the guy a break he will come good.
 
Back
Top Bottom