Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Epl ikianza ndio watajua hawajui

Mjinga wewe mpe cheo tu
Sasa hivi wataachana na Graza out , watasajili kimazoea , wakiamin Sasa ni mataito contender, Mimi sikuyahitaji haya matokeo sababu ya kelele zao, lakin Kuna faida yake
 
Sasa hivi wataachana na Graza out , watasajili kimazoea , wakiamin Sasa ni mataito contender, Mimi sikuyahitaji haya matokeo sababu ya kelele zao, lakin Kuna faida yake
Haya matokeo naona yanafaida kubwa kuliko hasara
Timu haiuzwi
Timu kumbe tayari imekamilika, no ins

Kwenye Epl nyumu asipopigwa doz (3) na arsenal Basi niulizwe Mii, shida ni Nini?
 
Haya matokeo naona yanafaida kubwa kuliko hasara
Timu haiuzwi
Timu kumbe tayari imekamilika, no ins

Kwenye Epl nyumu asipopigwa doz (3) na arsenal Basi niulizwe Mii, shida ni Nini?
Yah nimeona , Kuna chemistry nimeona inabidi waanze Partey na Rice kwa timu za kaunta Kama nyumbu ,
 
Juzi nilikuwa nacheki game arsenal vs MLS ndani ya dk 25 za mwanzo nikaona mmh hii timu upepo umekata hata kupiga pasi ilikua shida , MLS amepata chance zaidi ya 6 ndani ya dakika hizo hizo ni vile wakina benteke wazee wanakosa utulivu , Puig kashika dimba utadhani sio yule barca waliomtema.

Huyu viera ivi mlimtoa timu gani hata kupiga mpira tu hawezi , juzi nimemcheki pia nikasema humu, huyu hata championship tu haweziiii kucheza first eleven au tu timu iwe inamtegemea haiwezekaniii wakaja vijana wa praise humu oooh viera ame improve nikashangaa maana niliona dogo kidogo aliye improve ni marqhuinos huyu viera bado yule yule muoga aibu kibao kama pepe tena bora ya pepe .

Kitasa maguire naona leo yupo uwanja mzima mpaka kitambaa wamrudishie ana oveload na kupresss.

Zitakuja false hope kesho humu “ tumewaachia washinde ili wavimbe kichwa wajiite title contender or hii ni friend match” sawa umewaachia mpira uliocheza wewe unaridhisha? Second half yote sijaona arsenal alichofanya hata ile kuleta threat kwa man utd hamna.

Amini amini nawaambieni arsenal fans nyinyi ni big 4 chasers this season Liverpool karudi Newcastle hatoki mule na man utd ndo huyo hapo hajafanya usajili anakimbiza mwizi kimya kimya

Msiogope kizurii match ya ligi arsenal vs man utd ni matchday 6 tu kama sio 7 naamini oveload na pressing bado hazijaanza timber hajawah inverted mid au zincheko hawa man utd watakufa 8 , hope is always hope even its false hope.. come on bottlers!!
 
Heee tumepigwa na nyumbu?tambo zote za hamis77 na wengineo tumekandwa?
Mc Masingeli ni sawa na debe tupu hua haliishiwi kelele.
Ila hamis77 akianza kukuchambulia hii Aseno Ndoo unaweza ogopa hata kupeleka timu uwanjani.
Timu ina ChaPartey na Wali bora mngeongezea na Maharage kabisa kuliko kutulisha ubwabwa mkavu.
 
Juzi nilikuwa nacheki game arsenal vs MLS ndani ya dk 25 za mwanzo nikaona mmh hii timu upepo umekata hata kupiga pasi ilikua shida , MLS amepata chance zaidi ya 6 ndani ya dakika hizo hizo ni vile wakina benteke wazee wanakosa utulivu , Puig kashika dimba utadhani sio yule barca waliomtema.

Huyu viera ivi mlimtoa timu gani hata kupiga mpira tu hawezi , juzi nimemcheki pia nikasema humu, huyu hata championship tu haweziiii kucheza first eleven au tu timu iwe inamtegemea haiwezekaniii wakaja vijana wa praise humu oooh viera ame improve nikashangaa maana niliona dogo kidogo aliye improve ni marqhuinos huyu viera bado yule yule muoga aibu kibao kama pepe tena bora ya pepe .

Kitasa maguire naona leo yupo uwanja mzima mpaka kitambaa wamrudishie ana oveload na kupresss.

Zitakuja false hope kesho humu “ tumewaachia washinde ili wavimbe kichwa wajiite title contender or hii ni friend match” sawa umewaachia mpira uliocheza wewe unaridhisha? Second half yote sijaona arsenal alichofanya hata ile kuleta threat kwa man utd hamna.

Amini amini nawaambieni arsenal fans nyinyi ni big 4 chasers this season Liverpool karudi Newcastle hatoki mule na man utd ndo huyo hapo hajafanya usajili anakimbiza mwizi kimya kimya

Msiogope kizurii match ya ligi arsenal vs man utd ni matchday 6 tu kama sio 7 naamini oveload na pressing bado hazijaanza timber hajawah inverted mid au zincheko hawa man utd watakufa 8 , hope is always hope even its false hope.. come on bottlers!!
Mkuu Labyrinth 84 jitahidi usiwaquote tu watu, humu wenyewe wazee wa pressing & overloading hawapendi kukotiwa.
 
Juzi nilikuwa nacheki game arsenal vs MLS ndani ya dk 25 za mwanzo nikaona mmh hii timu upepo umekata hata kupiga pasi ilikua shida , MLS amepata chance zaidi ya 6 ndani ya dakika hizo hizo ni vile wakina benteke wazee wanakosa utulivu , Puig kashika dimba utadhani sio yule barca waliomtema.

Huyu viera ivi mlimtoa timu gani hata kupiga mpira tu hawezi , juzi nimemcheki pia nikasema humu, huyu hata championship tu haweziiii kucheza first eleven au tu timu iwe inamtegemea haiwezekaniii wakaja vijana wa praise humu oooh viera ame improve nikashangaa maana niliona dogo kidogo aliye improve ni marqhuinos huyu viera bado yule yule muoga aibu kibao kama pepe tena bora ya pepe .

Kitasa maguire naona leo yupo uwanja mzima mpaka kitambaa wamrudishie ana oveload na kupresss.

Zitakuja false hope kesho humu “ tumewaachia washinde ili wavimbe kichwa wajiite title contender or hii ni friend match” sawa umewaachia mpira uliocheza wewe unaridhisha? Second half yote sijaona arsenal alichofanya hata ile kuleta threat kwa man utd hamna.

Amini amini nawaambieni arsenal fans nyinyi ni big 4 chasers this season Liverpool karudi Newcastle hatoki mule na man utd ndo huyo hapo hajafanya usajili anakimbiza mwizi kimya kimya

Msiogope kizurii match ya ligi arsenal vs man utd ni matchday 6 tu kama sio 7 naamini oveload na pressing bado hazijaanza timber hajawah inverted mid au zincheko hawa man utd watakufa 8 , hope is always hope even its false hope.. come on bottlers!!
jamaa unatemaga fact hatar. Ngoja aje Mc Masingeli awabrain wash mikondoo yake kesho then fake hopes goes on.
 
Mkuu Labyrinth 84 jitahidi usiwaquote tu watu, humu wenyewe wazee wa pressing & overloading hawapendi kukotiwa.

Nitajitahidi sana ila kuna muda uvumilivu ukinishinda mara moja moja sio mbaya .

Mpira wa kwenye makaratasi ni mwepesi kweli hasa timu yenyewe iwe arsenal, utasikia ooh mara timber anacheza inverted na tierney ana stick kwenye position yake mara kwa kikosi hiki arteta arushe jezi hewani watakaowahi ndo waanze mara tuanze na wapi inatolewa list ya mido hizo na viera ndani unasikia vipi hapo kelele kibao mpaka unajiuliza ivi wakati hao wanafanya inverted sijuii midfd uwanjani wanakua 11 tu arsenal pekee yake huku upande mwingine panakuwa patupu au timu pinzano inakuwepo?

Hapo bado ndani ya gemu kuna vikao vya zincheko kila wanapotiwa kamba unajiuliza hivi vikao kila siku toka August mpaka April ni kipi haswa arsenal players wasichokielewa kutoka kwa bwana zinchy au anaongea kirussia mpaka hawaelewiii .
Mwaka huu nataka niwe nacheki games za arsenal kuhesabu vikao tu , kama mwaka jana vilikuwa vingi vile je mwaka huu
 
Back
Top Bottom