Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
jamaa unatemaga fact hatar. Ngoja aje Mc Masingeli awabrain wash mikondoo yake kesho then fake hopes goes on.
Ngoja tuache pastor mackenzie na wafuasi wake

mpaka arsene prof mwenyewe alishasema hakuna chance kubwa kama ya mwaka jana kutokea huko mbeleni ni ngumu .Last season unaona kabisa hii timu upepo ulikuwa wao , wameshindwa kupita nao maana kuna games unaona kabisa hizi game arsenal ana bahati na atachukua ubingwa e.g vs fulham firs leg , Liverpool game zote mbili , game na Aston villa zote mbili upepo wa ushindi ulikua kwao kilichotokea sasa 10 games to go


This season kila timu ipo moto just imagine Liverpool karudiii kwenye ubora , unai emery ndo kabisaa haelewii anashusha kina diaby tu huko ana hasira kama zote support aliyopewa arteta yeye alinyimwa mpaka akalazimishwa kumsajili pepe badala ya zaha , hasira zote anataka kumaliza kwa arsenal this season
.
️ wanaijua sisi wengine tunakaa na kushangaa is it true kuwa tupo tayari kucompete na giants?unabaki unacheka tu jana Manchester United ni kipimo sahihi sana kwetu zaidi ya sana licha ilikuwa ni friendly tu