Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mashabiki wa AsaniWali kwa kupenda kumkingia kifua Arteta utafikiri yamelishwa limbwata.
Hziyech22 ameuliza Wakati mnawasajili Thomas partey, Tomiyasu, Nuno tavares, Gabriel, Aaron Ramsdale Tierney, lukonga na Ben white kwa mkupuo kocha wenu alikua nani?

Tena miongoni mwa makocha waliotumia pesa nyingi kwenye usajili na huyo jamaa yupo, pesa alipewa kubwa tu, hana kisingizio chochote zaidi ya kuprove failure.
 
Inasikitisha sana Arsenal leo wakuzungumzia lokonga wakati kipindi Cha nyuma mlikuwa mnawatu wamaana sana Watu kama diaby, song, Nasri, Arshavini, Thomas Rosisky, Carzola na wato hawa mliwasajili kwa pesa za madafu
Haya masikitiko kwa Arsenal hayana makazi ya kudumu.

Yapeleke united
 
61A4B685-8F1B-4F27-9D4E-A8FAC2E4885F.jpeg
 
Screenshot_20220523-165621_Goal News.jpg



Screenshot_20220523-165701_Goal News.jpg



Screenshot_20220523-165708_Goal News.jpg



Screenshot_20220523-165807_Goal News.jpg



We are GOONERS

Nyie mafala angie mnaolalamikalalamika nendeni Tottenham tutoleeni ungese wenu hapa.

Negative mozafvkers!🖕🖕
 
Wenyewe AsaniWali wanamshukuru sana Arteta, wanadai amewavusha salama kutoka nafasi ya 8 msimu uliopita mpaka nafasi ya 5
So mwanangu we ndo kitoabu, we computerarsenal, we ndo ARV, we ndo milango mitatu.
 
Vipi Makwinyoz ameshaanza mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya hapo Emirates?
Cheki litimu letu next season dogo

Martinelli-Jesus-Saka
Tielemans-Partey-Odegaard
Tierney-Saliba-White-Tomi
Ramsdale
 
Back
Top Bottom