SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,444
Mashabiki wa AsaniWali kwa kupenda kumkingia kifua Arteta utafikiri yamelishwa limbwata.
Hziyech22 ameuliza Wakati mnawasajili Thomas partey, Tomiyasu, Nuno tavares, Gabriel, Aaron Ramsdale Tierney, lukonga na Ben white kwa mkupuo kocha wenu alikua nani?
Tena miongoni mwa makocha waliotumia pesa nyingi kwenye usajili na huyo jamaa yupo, pesa alipewa kubwa tu, hana kisingizio chochote zaidi ya kuprove failure.


