Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimefurahi kuona chama langu limehusika moja kwa moja kuizua Arsenal kuchukua ubingwa.
20230515_090701.jpg
 
Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu imethibitisha kushabikia timu ya Arsenyani kunasababisha msongo wa mawazo hali inayochangia kwa kiasi kikubwa upungufu wa vichocheo vya homoni ya testosterone na kupelekea upungufu wa nguvu za kiume.
Hali hii huleta mfadhahiko kwa vijana wengi wanaoshabikia timu ya Arsenal na kupelekea wengi wao kujiingiza kwenye vitendo vya ushoga. View attachment 2622390
Kukupinga itakua ngumu sana mkuu.

Izi facts zako sihitaj hata source yako zinajieleza na kujitosheleza.
 
I have been an arsenal fan for 20 years na nimeshuhudia haya
Chelsea kachukua epl 5 times, man utd 5 times , Liverpool and Leicester city kila moja mara moja just imagine even Leicester city win the damn title !!!
Man city ambao imeanza kuwa timu ya maana 2010 imenikuta as arsenal fan kwa miaka 7 empty hands now man city imechukua epl 7 times ukijumlisha na msimu huu.
This year tuko ahead 8 points na games zimebaki 8 still tumeshindwa kubeba ubingwa !! Arsenal is not a team ni epl jokers team .
Huko uefa tunaenda kushirikii tu tukijitahidi sana ni 16 bora then holla!!! Haina maana kuwa washiriki wa uefa
Nimeona watu wanalalamika “ ooh we need classic players and not average players” hata hao classic player hawaweziii kuja arsenal kwasababu ni average team and not world classic team, how can you find world classic players on loser team like arsenal???…. World classic player gan atakubali kuja arsenal timu isiyokuwa na mentality yakua bingwa hells no!!!!
Newcastle hii ambayo inaanza kujengwa itachukua epl na arsenal still itakua bado haijachukua
Fabregas kaondoka arsenal kaenda barca akarudii chelsea akachukua ubingwa , RVP kaenda man utd akachukua ubingwa , sagna na clichy wameondoka arsenal wakaenda man city wakachukua ubingwa . Halaand kazaliwa kakuta arsenal haina ubingwa now anachukua ubingwa na city hapa unajiuliza unashabikia arsenal ili iweje mpira mzuriii eti , arsenal inaizidiii city kwa mpira mzuriii hapana kwa makombe labda ya 1990 kwenda chini hukoo.

For 20 years i have been an arsenal fan, its the right time to say im no longer an arsenal fan!!!!!!!!

SO LONG , AND THANKS FOR ALL THE FISH!!!!!
Una uhakika we ni shabiki wa arsenal kweli?
 
BREAKING NEWZ****************
WanaArsenal wenzangu tusikate tamaa kamwe. Kimahesabu bado sisi ni mabingwa! Lolote laweza kutokea. Nimefanya hesabu zangu zikanionesha kwamba ikiwa Arsenal tutashinda mechi zetu zooooote zilizosalia na Man City akafungwa mechi zake zooote, Arsenal tunachukua kombe mapema kabisa kabla hata jogoo hajawika. Sisi ni mabingwa wapya, tushangilieeeee....oyoooooo! Arsenal we are new championssssssssssssssss!
 
Back
Top Bottom