Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sisi tumewaruhusu mtufunge
Ila tu mkaze miguu maana msitegemee tutakuwa tunatembea.

Lakini naona mmegoma kabisa kukaza miguu
Kilaini mnamzawadia ubingwa yule mama Citi wazembe arse8
We literally let you own us and you blew it.

Even gave you a penalty
 
Presha ya kupata ubingwa ndio inayoanza kutuletea shida zile feeling zinaanza kutuathiri mind set zawachezaji zimeanza kuathirika.

Kwa jinsi liver walivyoipania hii mechi kwetu naona ni a point gain.kama kweli tunautaka ubingwa tunatakiwa kupata points 3 kutoka kwa City lasivyo ubingwa ni majaaliwa
Kama mmeshindwa kutamba kwetu leo
Basi msitegemee mtawafunga city, Tena nyumbani kwao.


Mmewazawadia hili kombe Kwa uzembe wenu.
 
Arsenal hamuwezi kuchukua ubingwa wa ligi kuu England. Leo tu mmeponea chupuchupu kufa. Milikuwa mnapoteza muda kwa kujiangusha angusha na kudelay restart lakini dakika za mwisho mmetamani mpira uishe.

Hamna mentality ya ubingwa. Huwezi ongoza mbili first half halafu uanze kucheza mind games za kupoteza muda bila sababu.

Hiyo ni loser mentality na ndio inawanyima ubingwa.
Ubingwa tunachukua, aya kajambe mbele
 
Naanza kukubaliana na wewe ukiuliza why tumeshindwa pata 3 points leo jibu ni PRESHA YA UOGA,unaongoza goals 2 na zinarudi ,Yes Anfield ni pagumu but kwa mchezo wa leo ukikumbuka una games Etihad na St James Park unaishia kuguna
Arteta ajifunze game management

Zinchenko alipaswa atoke mapema sana
 
Manyumbu
Arsenal hamuwezi kuchukua ubingwa wa ligi kuu England. Leo tu mmeponea chupuchupu kufa. Milikuwa mnapoteza muda kwa kujiangusha angusha na kudelay restart lakini dakika za mwisho mmetamani mpira uishe.

Hamna mentality ya ubingwa. Huwezi ongoza mbili first half halafu uanze kucheza mind games za kupoteza muda bila sababu.

Hiyo ni loser mentality na ndio inawanyima ubingwa.
Wao hawakupark bus kwenye mechi ya Madrid na wakapoteza na sisi tumepark bus pale Anfield na tukatoka draw so in this case who's better than the other??
Ila hakupark bus na kuanza kupoteza muda kama Arsenal.
 
Kama mmeshindwa kutamba kwetu leo
Basi msitegemee mtawafunga city, Tena nyumbani kwao.


Mmewazawadia hili kombe Kwa uzembe wenu.
Hii game ya leo inaweza kua funzo kwa Arteta na wachezaji kua hatupo kwenye kipindi cha kumuogopa adui na kumsubiri aje

City tunaweza kumfunga
 
Hizo fixtures tunaweza kushinda kama tunasukuma mlevi, ila mentality ya timu inabidi ibadilike huwezi kua unaongoza goli mbili unakimbilia kupaki basi
Msingepaki bus
Mngefunga mabao mengine zaidi ya hayo

Mizembe nyanya mkaridhika.
Mkajiona mmemaliza.
 
Replacement ya Xhaka ni muhimu sana wazee

Hiki kitendo kilitutoa mchezoni kabisa
20230409_211116.jpg
 
Arsenal hamuwezi kuchukua ubingwa wa ligi kuu England. Leo tu mmeponea chupuchupu kufa. Milikuwa mnapoteza muda kwa kujiangusha angusha na kudelay restart lakini dakika za mwisho mmetamani mpira uishe.

Hamna mentality ya ubingwa. Huwezi ongoza mbili first half halafu uanze kucheza mind games za kupoteza muda bila sababu.

Hiyo ni loser mentality na ndio inawanyima ubingwa.
Nafasi ya Ubingwa bado ipo hii EPL lolote linaweza kutokea.

Man City anaweza akapoteza kwa Timu usiyotarajia, bado ngoma mbichi kabisa.

Leo hatukuwa vizuri ila pia tulikua na nafasi ya kushinda kama Ile nafasi ya dakika za Mwisho.

Game On Mkuu, mpaka mechi ya mwisho.
 
Hii game ya leo inaweza kua funzo kwa Arteta na wachezaji kua hatupo kwenye kipindi cha kumuogopa adui na kumsubiri aje

City tunaweza kumfunga
Watu mnataka ushindi na mnakaa mnaridhika!

Mwenzenu Kipara hana utani mjue

Uzembe kama wenu ndo ulotucost mwaka jana tukashindwa kubeba hii ndoo.
 
Back
Top Bottom