Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahaha city kadrop points kwa out of form united na mid table teams.
Acha dharau wewe. Old Trafford lazima uache points. City alipigiwa mpira hata Haaland hakutembea, katimu kenu msimu huu na kocha wa mchongo aliwekewa mtego mkajaa kwenye mfumo.
 
Hadi punda walioliwa 7 wanakuja kutoa ushuhuda.

This is massive
Haha mkuu ndio ushabiki huo.. na huyo punda amebeba kikombe kimoja japo mnakiita cha mbuzi lakini mlishiriki pia, bado anafukizia kombe la fa na europa! Huu ubingwa wa epl mkiukosa msimu huu mjilaumu wenyewe.. na mechi 3 za mwisho zitakua ngumu sana, kazeni buti wenetu!
 
Haha mkuu ndio ushabiki huo.. na huyo punda amebeba kikombe kimoja japo mnakiita cha mbuzi lakini mlishiriki pia, bado anafukizia kombe la fa na europa! Huu ubingwa wa epl mkiukosa msimu huu mjilaumu wenyewe.. na mechi 3 za mwisho zitakua ngumu sana, kazeni buti wenetu!
Tupo kwenye 3/5 ya process, mwakani tutaelewana vizuri
 
Drury anakosha
255764285277_status_49fb6b0473ad4b9c9af4bd49a1cee14d.jpg
 
Tulikuwa 2:0 ahead , xhaka panic sijuiii alikua anazileta za nini wakati timu inaongoza tayariii. Huyu refa wa leo nae sijuii ameacha gemu ichezeke ki ubabe sana mara amezingua sana!!
Sub ya zincheko ilitakiwa ifanyike kabla hata goli halijarudii dk ya 75-80 huko ukizingatia tierney ni bora sana kwenye defense way, huyu kiwior ilikua haina haja ya kuingia.
The way tumetoka 2:0 up to2:2 daah hii gemu ilikua tayariii tushaimaliza panic baadhi za wachezaji wetu hasa xhaka zimefanya game kuisha hivi maana toka muda ule mpira ulikua haukaiii kabisa kwetu , duels nyingi tumepoteza, pasi zikawa hazifikiii.

From 2:0 to 2:2 hii ndo imeniuma zaidiii .
 
Arsenal’s next six fixtures:

West Ham A
Southampton H
Manchester City A
Chelsea H
Newcastle A
Brighton H

Tukipoteza sana ni points 16/18
Tunahitaji droo kwa man city, Newcastle na kushinda mechi 6 kuwin EPL 93 point against city 92,
akiwin mechi zake zote isipokuwa droo kwa arsenal
*******
Bado naamini arsenal tunachukua EPL
 
Back
Top Bottom