Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hamis77 huyu kwa alivowadaganya wenzake asipochukulia hatua haitakua fundisho kwa wengne.

Huyu akamatwe awekwe ndan Pa1 na wajinga wenzake wengne hapa wote washikilie kwnz kwa tuhuma za Ugaidi ili wakose dhamana na baada ya hapo washtakiwe kwa kosa la utapeli ama ulaghai wa maneno zidi ya wenzao

hamis77 akamatwe kwa kosa la Ugaidi
Unaambiwa mpaka dakika hii hamis77 yuko kwenye mikono salama akilisaidia jeshi la polisi na intelijensia ya nchi kuelezea huo uhaini wao wa kujitangazia ubingwa kabla ya ligi kuisha na kuleta taharuki kubwa kwenye jamii inayowazunguka, mfadhili wao ni nani na malengo yao hasa ni yapi?
Screenshot_20230514_225554.jpg
 
Jorgninho alipojiunga na Arsenal January 2023 kutokea Chelsea, Arsenal walikuwa point 5 kileleni mwa ligi
Maagent wetu huwa hawatuangushi kabisa
Walianza akina Luiz, Willian, Petr Cech na sasa Jorginho

Walianza kututukana hawa washamba kwamba sisi tumeshindwa kumpa Jorginho EPL sasa atachukua kupitia Arsenal
Labda kwa muujiza wa karne
Note: sisi alibeba makombe ya nguvu manne pale darajani
  1. UCL
  2. Europa
  3. Club world
  4. UEFA Supper cup
FwG0K4VXsAAkPBq

 
Brighton first half walivyokua wana press toka golini wamefanya blunders kibao ila arsenal wakichukua mpira walikua hawafanyi cha maana wanakosa tu magoli na maamuzi ya kijinga!!!! Kuna tofauti kweli kati ya boys at work and men at work !!! Arsenal are boys and man city ni men at work surely!!!
 
I have been an arsenal fan for 20 years na nimeshuhudia haya
Chelsea kachukua epl 5 times, man utd 5 times , Liverpool and Leicester city kila moja mara moja just imagine even Leicester city win the damn title !!!
Man city ambao imeanza kuwa timu ya maana 2010 imenikuta as arsenal fan kwa miaka 7 empty hands now man city imechukua epl 7 times ukijumlisha na msimu huu.
This year tuko ahead 8 points na games zimebaki 8 still tumeshindwa kubeba ubingwa !! Arsenal is not a team ni epl jokers team .
Huko uefa tunaenda kushirikii tu tukijitahidi sana ni 16 bora then holla!!! Haina maana kuwa washiriki wa uefa
Nimeona watu wanalalamika “ ooh we need classic players and not average players” hata hao classic player hawaweziii kuja arsenal kwasababu ni average team and not world classic team, how can you find world classic players on loser team like arsenal???…. World classic player gan atakubali kuja arsenal timu isiyokuwa na mentality yakua bingwa hells no!!!!
Newcastle hii ambayo inaanza kujengwa itachukua epl na arsenal still itakua bado haijachukua
Fabregas kaondoka arsenal kaenda barca akarudii chelsea akachukua ubingwa , RVP kaenda man utd akachukua ubingwa , sagna na clichy wameondoka arsenal wakaenda man city wakachukua ubingwa . Halaand kazaliwa kakuta arsenal haina ubingwa now anachukua ubingwa na city hapa unajiuliza unashabikia arsenal ili iweje mpira mzuriii eti , arsenal inaizidiii city kwa mpira mzuriii hapana kwa makombe labda ya 1990 kwenda chini hukoo.

For 20 years i have been an arsenal fan, its the right time to say im no longer an arsenal fan!!!!!!!!

SO LONG , AND THANKS FOR ALL THE FISH!!!!!
 
I have been an arsenal fan for 20 years na nimeshuhudia haya
Chelsea kachukua epl 5 times, man utd 5 times , Liverpool and Leicester city kila moja mara moja just imagine even Leicester city win the damn title !!!
Man city ambao imeanza kuwa timu ya maana 2010 imenikuta as arsenal fan kwa miaka 7 empty hands now man city imechukua epl 7 times ukijumlisha na msimu huu.
This year tuko ahead 8 points na games zimebaki 8 still tumeshindwa kubeba ubingwa !! Arsenal is not a team ni epl jokers team .
Huko uefa tunaenda kushirikii tu tukijitahidi sana ni 16 bora then holla!!! Haina maana kuwa washiriki wa uefa
Nimeona watu wanalalamika “ ooh we need classic players and not average players” hata hao classic player hawaweziii kuja arsenal kwasababu ni average team and not world classic team, how can you find world classic players on loser team like arsenal???…. World classic player gan atakubali kuja arsenal timu isiyokuwa na mentality yakua bingwa hells no!!!!
Newcastle hii ambayo inaanza kujengwa itachukua epl na arsenal still itakua bado haijachukua
Fabregas kaondoka arsenal kaenda barca akarudii chelsea akachukua ubingwa , RVP kaenda man utd akachukua ubingwa , sagna na clichy wameondoka arsenal wakaenda man city wakachukua ubingwa . Halaand kazaliwa kakuta arsenal haina ubingwa now anachukua ubingwa na city hapa unajiuliza unashabikia arsenal ili iweje mpira mzuriii eti , arsenal inaizidiii city kwa mpira mzuriii hapana kwa makombe labda ya 1990 kwenda chini hukoo.

For 20 years i have been an arsenal fan, its the right time to say im no longer an arsenal fan!!!!!!!!

SO LONG , AND THANKS FOR ALL THE FISH!!!!!
Umefanya uamuzi mzuri, muachie hilo tambala bovu ndugu hamis77 limuue.
 
Unaambiwa mpaka dakika hii hamis77 yuko kwenye mikono salama akilisaidia jeshi la polisi na intelijensia ya nchi kuelezea huo uhaini wao wa kujitangazia ubingwa kabla ya ligi kuisha na kuleta taharuki kubwa kwenye jamii inayowazunguka, mfadhili wao ni nani na malengo yao hasa ni yapi? View attachment 2622186
Mtuhumiwa alikua mpiga kelele sana
 
I have been an arsenal fan for 20 years na nimeshuhudia haya
Chelsea kachukua epl 5 times, man utd 5 times , Liverpool and Leicester city kila moja mara moja just imagine even Leicester city win the damn title !!!
Man city ambao imeanza kuwa timu ya maana 2010 imenikuta as arsenal fan kwa miaka 7 empty hands now man city imechukua epl 7 times ukijumlisha na msimu huu.
This year tuko ahead 8 points na games zimebaki 8 still tumeshindwa kubeba ubingwa !! Arsenal is not a team ni epl jokers team .
Huko uefa tunaenda kushirikii tu tukijitahidi sana ni 16 bora then holla!!! Haina maana kuwa washiriki wa uefa
Nimeona watu wanalalamika “ ooh we need classic players and not average players” hata hao classic player hawaweziii kuja arsenal kwasababu ni average team and not world classic team, how can you find world classic players on loser team like arsenal???…. World classic player gan atakubali kuja arsenal timu isiyokuwa na mentality yakua bingwa hells no!!!!
Newcastle hii ambayo inaanza kujengwa itachukua epl na arsenal still itakua bado haijachukua
Fabregas kaondoka arsenal kaenda barca akarudii chelsea akachukua ubingwa , RVP kaenda man utd akachukua ubingwa , sagna na clichy wameondoka arsenal wakaenda man city wakachukua ubingwa . Halaand kazaliwa kakuta arsenal haina ubingwa now anachukua ubingwa na city hapa unajiuliza unashabikia arsenal ili iweje mpira mzuriii eti , arsenal inaizidiii city kwa mpira mzuriii hapana kwa makombe labda ya 1990 kwenda chini hukoo.

For 20 years i have been an arsenal fan, its the right time to say im no longer an arsenal fan!!!!!!!!

SO LONG , AND THANKS FOR ALL THE FISH!!!!!
Karibu city mkuu upate full burudni.Timu sio kabila kwamba huwezi badili. Nikiwaangalia mashabiki wa Arsenal nashimwa kuwaelewa ilikuaje kuaje mpaka mkaanza kushabikia timu kama Arsenal? Au ndo unbeaten ya mchongo iliwahadaa.
 
I have been an arsenal fan for 20 years na nimeshuhudia haya
Chelsea kachukua epl 5 times, man utd 5 times , Liverpool and Leicester city kila moja mara moja just imagine even Leicester city win the damn title !!!
Man city ambao imeanza kuwa timu ya maana 2010 imenikuta as arsenal fan kwa miaka 7 empty hands now man city imechukua epl 7 times ukijumlisha na msimu huu.
This year tuko ahead 8 points na games zimebaki 8 still tumeshindwa kubeba ubingwa !! Arsenal is not a team ni epl jokers team .
Huko uefa tunaenda kushirikii tu tukijitahidi sana ni 16 bora then holla!!! Haina maana kuwa washiriki wa uefa
Nimeona watu wanalalamika “ ooh we need classic players and not average players” hata hao classic player hawaweziii kuja arsenal kwasababu ni average team and not world classic team, how can you find world classic players on loser team like arsenal???…. World classic player gan atakubali kuja arsenal timu isiyokuwa na mentality yakua bingwa hells no!!!!
Newcastle hii ambayo inaanza kujengwa itachukua epl na arsenal still itakua bado haijachukua
Fabregas kaondoka arsenal kaenda barca akarudii chelsea akachukua ubingwa , RVP kaenda man utd akachukua ubingwa , sagna na clichy wameondoka arsenal wakaenda man city wakachukua ubingwa . Halaand kazaliwa kakuta arsenal haina ubingwa now anachukua ubingwa na city hapa unajiuliza unashabikia arsenal ili iweje mpira mzuriii eti , arsenal inaizidiii city kwa mpira mzuriii hapana kwa makombe labda ya 1990 kwenda chini hukoo.

For 20 years i have been an arsenal fan, its the right time to say im no longer an arsenal fan!!!!!!!!

SO LONG , AND THANKS FOR ALL THE FISH!!!!!
Inauma ila itabidi mvumilie 😂
 
Arsenal mmenikumbusha lile tangazo la malaria.

Mtoto anamuuliza baba'ake, ndege inapaaje angani, baba akaanza kujimumunya ety ni lazima uwe na afya bora 😂😂 kumbe mzee baba shingo yake imebeba pipa.

Sasa yule baba ndiyo Arsenal sasa.
 
Back
Top Bottom