HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Tutulie guys. Tuwapuuze Hawa washambenga wenye chuki nasi. Sisi tuna 5-year plan. Miaka 2 ya mwanzo imekuwa disappointing tukawa nyuma ya schedule. Sasa tumeongeza Kasi tukafidia miaka iliyopita na kuonekana tuko mbele. Binafsi naona hii imefidia na kuturudiaha tu kwenye reli ila Bado safari ni ndefu sana tena sana. Ingetokea tukabeba ubingwa ingekuwa poa sana pia japo siwezi kusema kama ingemaanisha tumekuwa Bora sana msimu mzima. Kuna kipindi tulikuwa wamoto na Kuna vipindi tulikuwa wabaridi. Mwishowe Hali ndiyo kama tunavyoiona. Cha muhimu tuendelee kuenjoy good moments sana, na tuhuzunike Kwa bad moments kidogo.


