allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,331
- 10,957
huyo na hamis77 ni account moya[emoji16][emoji16] saize anakuja na ID tofauti tofauti anapiga mashambulizi kidogo anasepa.Yule Aaron Arsenal tuliyeambiwa kapoteza simu, siku ya ijumaa nilikuta kaposti komenti kwenye uzi wa yule jamaa anayeshangaa mademu kutongoza wanaume.
Nilikuta anauliza mbona yeye hapati hizo bahati za kutongozwa na wanawake?
Kutoka kuwa mchambuzi (uchwara) mpaka kuomba kutongozwa na wanawake [emoji23][emoji23][emoji23]
Ateta kamatia hapohapooo.