Yaani Ina maana sisi wana Arsenal hatupo kabisa kwenye huu Uzi ? Naona watu wa City, Nyumbu na Chelsea tu daah






















Katika mashabiki wote wa Arsenyani hichi kichwa pekee ndio hua hakiendeshwi na mihemko ya kiushabiki.Moyo unaenda mbio nikiona game za April zinazokuja kuanzia next week, Manchester City ana experience sana na game hizi ,kipara hajawahi kuanguka kwa marathon za namna hii anaweza akaboronga mwanzoni ila kwa game hizi za marathonje tutatoboa?Mungu atusaidie
KUMBUKIZIKenge na fools watengeneze combined first eleven ndio waje kukutana na hii arsenal ya NDOO
Hapo ndio game itabalance
Liverfool
Wamekatika kuanzia nyuma, kati hadi mbele
Hakuna mchezaji wa Liverfool anaepata namba pale the gunners
Na hawazidi wachezaji watatu watakaopata namba pale Brighton au pale newCastle
Liverfool iyo jpil amepigwa chache basi ni 3 mtungi
KUMBUKIZIJumapili tutakua na uzi wetu mweusi pale kwa wala pensheni FC
Wamejaribu kupumzisha baadhi wa wazee wakidhani wataweza kuukwepa msalaba wa jumuiya
Wasijiroge wakaleta mchezo wa kupishana kitachowapata wataenda kusimuliana View attachment 2579250
Tukisemaga computerarsenal ana IQ kubwa kuwazidi kina hamis77 MalcolM XII verifaidi yuza na mkorea muwe mnaelewa basi.Kaka pale ni Anfield usiseme mapema sana tutashinda no way baadae uje uwape wapinzani maneno machafu ya kututukana tangia 2012 hatujawahi kushinda pale yes tuna squad nzuri sana but remember Liverpool pale wamefungwa game 1 pekee this season
Kumbukizi:Ni kweli unavyosema ila kwa sasa no excuse katolewa FA ,Carabao na Europa league tuachage mentality za kinyonge ndizo miaka nenda rudi nyuma hatuna Big trophies kama EPL ,mpinzani wake yupo Championsleague, FA ,sisi tuna EPL pekee why tuone second place ni sehemu ya kuridhika na still tupo top hadi sasa?kwa sasa tulipo tukishindwa kubeba EPL na still 9 games zimebaki itakuwa ni tumefeli vibaya mno angalau hata tungeshika nafasi ya 3, kuliko mwaka mzima tuwe namba 1 then tumalize second place without FA,Carabao au Europa league medal
!


wengine wote waliobaki ni Maharage matupu wazee wa kujipiga ban wenyewe.