Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Halafu aliyesawazisha ndiye alisababisha penati.

Poetic justice
 
Aliyekwambia sisi malengo Ni ubingwa nani?

Ligi inaanza hata Top 4 hamkutuweka ,mlisema manjesta Ni Title contender ,haya maneno yakwamba tutalia machozi mnayatoa wapi?
Hayo maneno yakwamba mtalia machozi tumeyatoa hapa
Screenshot_20230404-114106.jpg
Screenshot_20230404_120608.jpg
Screenshot_20230404_120631.jpg
 
Cheki kwenye picha hii OVERLOAD ya city ilivyowafanya Liverpool wageuke KITAYOSA

Liverpool alifanyiwa hivi hivi na Brighton mechi zote 2 ,

Mechi yetu jumapili najua tutawfanyia hivi hivi maana kwasasa tunafanya OVERLOAD , POSITIONAL PLAY ZA KIWANGO CHA SGR ,

Imagine City hii iliona Bora ipaki timu wavizie individual errors tu

Kuelekea hii mechi tunatakiwa kuepuka makosa madogo madogo,kuepuka Kaunta attack .

Tutumie nafasi mapema ili kuwafanya Liverpool waliamke na kuzidi kutuachia mianya

Kumkosa saliba pale Nyuma Ni pengo maana kwenye kufanya hizi OVERLOAD alihitajika

Rob holding atatakiwa ku rise game yake
IMG_20230403_205036.jpg
 
Cheki kwenye picha hii OVERLOAD ya city ilivyowafanya Liverpool wageuke KITAYOSA

Liverpool alifanyiwa hivi hivi na Brighton mechi zote 2 ,

Mechi yetu jumapili najua tutawfanyia hivi hivi maana kwasasa tunafanya OVERLOAD , POSITIONAL PLAY ZA KIWANGO CHA SGR ,

Imagine City hii iliona Bora ipaki timu wavizie individual errors tu

Kuelekea hii mechi tunatakiwa kuepuka makosa madogo madogo,kuepuka Kaunta attack .

Tutumie nafasi mapema ili kuwafanya Liverpool waliamke na kuzidi kutuachia mianya

Kumkosa saliba pale Nyuma Ni pengo maana kwenye kufanya hizi OVERLOAD alihitajika

Rob holding atatakiwa ku rise game yake View attachment 2576404
Picha inaonesha Liverpool ndio wame create overload 6v3, that means City were underloaded in that regard. Switch of play kwa Grealish ambaye yupo isolated inatokana na lack of intensity kwa upande wa liverpool. Na hii inaonesha level ya liverpool this season as they were used to pressing aggressively in the past, nini kimewakuta leo paka kusahau fundamentals?
 
Sawa ni Anfield, lakini kwa mpira huu ndo tufungwe na Liverpool?

Tutafungwa na uwanja lakini sio kwa kiwango. Liverpool wanaacha ma space makubwa, easy to be punished.

Sasa sina uoga tena, naisubiri fixture ya jumapili kwa hamu.
 
Sawa ni Anfield, lakini kwa mpira huu ndo tufungwe na Liverpool?

Tutafungwa na uwanja lakini sio kwa kiwango. Liverpool wanaacha ma space makubwa, easy to be punished.

Sasa sina uoga tena, naisubiri fixture ya jumapili kwa hamu.
Ndio mechi ya mwisho ,tukishinda nimemuahidi mwanangu namnunulia jezi ya Arsenal mpya

Liverpool anaacha magepu Sana ,

Maana sion mechi ya presha nyingine Tena , huyo city namtamani Sana ,
 
Ndio mechi ya mwisho ,tukishinda nimemuahidi mwanangu namnunulia jezi ya Arsenal mpya

Liverpool anaacha magepu Sana ,

Maana sion mechi ya presha nyingine Tena , huyo city namtamani Sana ,
Mechi ya City, Partey akiwa fit naenda nae jino kwa jino.

Watu wanaamini tumeshapoteza kwa City kwakuwa tulifungwa mechi ya kwanza but uwepo wa Partey unabadili kila kitu.

Imagine tuliwazidi possession huku kiungo akiwa Jorginho.
 
Kenge na fools watengeneze combined first eleven ndio waje kukutana na hii arsenal ya NDOO
Hapo ndio game itabalance

Liverfool
Wamekatika kuanzia nyuma, kati hadi mbele
Hakuna mchezaji wa Liverfool anaepata namba pale the gunners
Na hawazidi wachezaji watatu watakaopata namba pale Brighton au pale newCastle
Liverfool iyo jpil amepigwa chache basi ni 3 mtungi
 
Chelkenge
Kiungo kina unafuu kwa mbali kutokana na kurudi kwa mjomba Ngolo kante, changamoto ya umri na majerui so energy yake haitakua kama miaka 4 nyuma
Battle la kiungo, partey atajibeba ushindi mapema Sana
Odegard ata unlock pattern zote kwa usahihi wa hali ya juu
Runs za martinel, saka, trossad, Jesus na hizo positional play watalazimika wapaki bus tu

Defenders za kenge zinakatika kwa viwango vizuri tu
Cucurela anakazi ya kumzuia saka

Fowards za Chelsea ni butu, butu, butu tena

Na itawachukua muda mrefu kuamini kuwa Potter hakuwa tatizo
 
Back
Top Bottom