Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mbona huulizi alikuwa na ubora gani alipokuwa Barcelona?

Yani unataka kujaji kocha kwa performance ya team ya taifa?
Sasa ile Barcelona iliyokuwa na MSN ingekushinda hata wewe kuikochi na kukujazia mafanikio tele ilihali ilikuwa na viungo Wachezeshaji mahiri chungunzima?
 
Baada ya kipigo heavy kutoka kwa Newcastle kwa mara ya kwanza umecommentsFlano
Mi namsubiria huyo tembo aliesimama kwa mguu mmoja juu ya mti aanguke ndio nitie timu rasmi humu.
Ila msimu huu mmejua kutuweka na dukuduku, kila tunapowaombea mabaya ndio kwanza mnazidi kubarikiwa kima nyie.
Hakika kila mnapofunga magoli ndio mnazidi kutufunga pia midomo.
 
Serbia forward Dusan Vlahovic, 23, would be open to joining Arsenal this summer, having rejected the Gunners for Juventus last January. (FourFourTwo)
 
JACOB MURPHY; Arsenal ndo team ngumu zaidi ambayo tumekutana nayo msimu huu

:- Jacob Murphy ni Winger wa NEWCASTLE UNITED alikuwa ameulizwa swali hili na Stephen Howsons wa VIBE WITH FIVE.

"Arteta amefanya usajili mzuri sana kwenye dirisha Kubwa.Kiufundi Arsenal wameziacha mbali sana team nyingi za EPL"

" Kimbinu ni ngumu sana hata kuwasogelea,ni ngumu sana kuizuia ile shape yao"

" Ni ngumu sana kwa Mfano kumzuia ALEXANDER ZINCHENKO ,Alipiga pasi 3 flani hivi ndani ya Dakika 15 tukawa tunajiuliza Inawezekanaje na tulikuwa kwenye shape Yetu nzuri ya kuzuia? "

Note; Na hii Mechi Newcastle United walipata suluhu 0-0 , Lakini walikuwa Wanalala uwanjani hawataki kucheza Boli.

IMG_20230403_201632.jpg
 
Hii ilikuwa ni BUILDUP ya bao la pili la GABRIEL JESUS...Hii COCKTAIL utafungwa tu whether you like it or not..

:- GABRIEL JESUS ndo mshambuliaji wa Arsenal hapo yupo eneo tunaita right half Space ambapo mara nyingi anakaa Martin Odegaard ambaye Sasa ameshuka kwenye half space ya kushoto

:- GRANIT XHAKA Ndo mara nyingi anacheza hii half Spece kushoto now unamuona hapo anaosogea karibu zaidi na Leandro Trossard ambae yupo eneo la mshambuliaji hapo

:- BEN WHITE ambaye ni Right back yupo kwenye Right Winger ambayo kwenye Mechi hii alikuwa anacheza LEANDRO TROSSARD ambaye yupo na amechukua nafasi ya Gabriel Jesus kama mshambuliaji

:- ALEXANDER ZINCHENKO ambae ni Left back wa Arsenal yupo Karibu na Thomas Partey kama Defensive MIDFIELD

Note; Hii quality na Flexibility ya Kila mchezaji kufahamu Majukumu na mahitaji ya nafasi tofauti uwanjani utafungwa utake usitake
IMG_20230402_142705.jpg
 
Mi namsubiria huyo tembo aliesimama kwa mguu mmoja juu ya mti aanguke ndio nitie timu rasmi humu.
Ila msimu huu mmejua kutuweka na dukuduku, kila tunapowaombea mabaya ndio kwanza mnazidi kubarikiwa kima nyie.
Hakika kila mnapofunga magoli ndio mnazidi kutufunga pia midomo.
Leo nakuombea upasuke tena😂😂
 
Serbia forward Dusan Vlahovic, 23, would be open to joining Arsenal this summer, having rejected the Gunners for Juventus last January. (FourFourTwo)
Akafie mbele huko hatumtaki,
Alituchukulia poa sana huyo kipindi kile, akachagua juve
 
Jumapili tutakua na uzi wetu mweusi pale kwa wala pensheni FC

Wamejaribu kupumzisha baadhi wa wazee wakidhani wataweza kuukwepa msalaba wa jumuiya

Wasijiroge wakaleta mchezo wa kupishana kitachowapata wataenda kusimuliana View attachment 2579250
Sio zile za Jersey nyeupe?nahisi tulivaa mara moja pekee vs Crystal Palace but nyeusi nazikubali sana
 
Martinelli Jesus Saka

Hii Trio mapema Sana tutashinda jumapili

Xhaka & Partey kwenye midfield

Odegaard Kama Muunganishaji

Jesus ameanza kurudi kwenye ubora ,anarud chini kabisa kuchukua mipira

Akianza TAA nadhani tuta utarget Sana huo upande

Ila nahisi ataanza Gomez maana katika mechi 18 alizoanza TAA ,winger ,za Kushoto za timu pinzani wamekuwa MOT Mara 12-14
 
Back
Top Bottom