Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nenda kalilie kwa choo
Usikae ukaumiza kichwa chako kdg kutafuta vitu vya kunisema. Arsenal is there and I am & still be Arsenal fan. Does that bother you?

Usijipe kazi ambayo haikulipi wala usiishe maisha ya kujaribu kuwakera au kuwaamulia wenzio waishi vipi.

Ishi na ujinga wako mwenyewe
 
Chelshit, Liverfuul, Man7 yamejazana hapa kujaribu kuisema Arsenal ambayo ipo vizuri zaidi yao na nyote imewakojolea.....


Jifuteni mwende kwenye majukwaa yenu wangese nyie.

Arsenal has still improved in its own way, Title winning wasn't in our plan before the start of the, it just came by the way and might leave the same way it came.

We are still playing game-by-game and focus on NEXT GAME.

Tokeni mkazungumzie hali zenu kima nyie
Kigi Makasi kabeba kifurushi chake cha wali huku akiwachamba mashabiki wa Chelsea, Liverpool na Manchester United.
tapatalk_-1258466040_433x540.jpg
 
Usikae ukaumiza kichwa kdg kutafuta vitu vya kunisema. Arsenal is there and I am & still be Arsenal fan. Does that bother you!

Usijipe kazi ambayo haikulipi wala usiishe maisha ya kujaribu kuwakera au kuwaamulia wenzio waishi vipi.

Ishi na ujinga wako mwenyewe
Sasa makasiriko ya nn si mnaongoza ligi nyie, nilitegemea utanijibu hivyo
 
Mechi yoyote inaweza kupata matokeo yoyote ndo mana inachezwa.

Timu yoyote inaweza kushinda ubingwa kati ya timu 20 baada ya mechi 38.

Ukiona timu yako haina nafasi hiyo, deal nalo Hilo. Usishinde kupiga umbeya wa kimama kujaribu kuwasema ambao huhusiani nao.

Am done with you! take it or leave, ni vipimo vya akili yenu.

Arsenal forever
 
Back
Top Bottom