Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sema huyu Jamaa Since day one, hakuwahi kua na iman na mudryk wala sio kisa hakusajiliwa na Arsenal, anasimamia kile alichokiona kabla hata Chelsea hawajaingilia kati kwenye hilo Deal.
hapo sawa nimekuelewa
 
Kuna mshkaji hadi juzi akanitag kwenye compilation ya Mudryk 😔

Anyway, banter ni nyingi kuna moja inasema Jana kwa uingereza timu zote zilipata angalau goli moja isipokua The Idiot.

Chelsea didn't lose it was April's fools day.

Nagelsman 2nd in the league - sacked
Conte 4th in the league - sacked
Potter 11th on the league - trust the process

Tuchel with Bayern won 4 - 2 and said there is still room for improvements. Potter lost 2 - 0 and said the boys gave everything.

Ramadan goes from 10 to 11 and so did Chelsea
 
Kila mtu ashinde mechi zake

City bado atadrop not less than 5 points
We mmarekani nusu, unaziona point atakazodondosha city ila za arsenyani huzioni?

Kweli nyani haoni kundule.

Nikwambie tu kama unategemea hii city idondoshe point 5 anza kutafuta panadol mapema maana hakuna wa kuchukua hizo point 5, ni mwendo wa virungu mpaka mei.
 
Mikel Arteta kuhusu Trossard:

Anaweza kucheza upande wa kulia, anaweza kucheza upande wa kushoto, anaweza kucheza kama kiungo mshambuliaji, kama 9, 9 wa uwongo.

Anachangia sana kwa timu na anachukua jukumu kubwa katika mchezo kufanya mambo yafanyike na tunapenda hilo." [

“Tulijua ubora wake na kile angeweza kuleta kwenye timu (tulipomnunua). Kwa kweli tumefurahishwa naye."
IMG-20230402-WA0000.jpg
 
We mmarekani nusu, unaziona point atakazodondosha city ila za arsenyani huzioni?

Kweli nyani haoni kundule.

Nikwambie tu kama unategemea hii city idondoshe point 5 anza kutafuta panadol mapema maana hakuna wa kuchukua hizo point 5, ni mwendo wa virungu mpaka mei.
Kudai kwamba mtapiga kirungu kila mtakayekutana naye ni uongo
 
Without Partey and Jesus ,huku tukiwa na Nketiah aliyekuwa injury ,City almost alicheza counter attack whole game

Nachelea kusema Pale kwake kazi anayo

Saka alisema Tazama city wanakuja hapa wanapaki Basi utaelewa hatuogopi yeyote

Kwa wanaoangalia matokeo sio performance hawataelewa ndio wale tuliokuwa tunawaambia Manjesta na Spurs hawawez kugombea ubingwa wakawa wanakataa

Now Manjesta anapambania Kubaki top 4 au kucheza Europa na mwenzie Spurs
 
We mmarekani nusu, unaziona point atakazodondosha city ila za arsenyani huzioni?

Kweli nyani haoni kundule.

Nikwambie tu kama unategemea hii city idondoshe point 5 anza kutafuta panadol mapema maana hakuna wa kuchukua hizo point 5, ni mwendo wa virungu mpaka mei.
Niliwahi sema humu city na man utd watadondosha point 7 na mpaka sasa city tayari 2 (dhidi ya nottgham forrest) na man utd 3(liverpool). City zimebaki 5 naona draw 1 na akipoteza 1.
Kwa kikosi changu nna imani nitazikusanya point hadi kwenye mchezo dhidi ya city(hata draw).
Tupo juu ya msimamo namba haziongopi mkuu nipo pale kwa sababu ya matokeo na sio kundule.
 
Sema huyu Jamaa Since day one, hakuwahi kua na iman na mudryk wala sio kisa hakusajiliwa na Arsenal, anasimamia kile alichokiona kabla hata Chelsea hawajaingilia kati kwenye hilo Deal.
FACT alitokea tu kama upepo unavyovuma na watu wakajaa kumpa sifa but ni kweli alikuwa ana kipaji kama tulivyokuwa tunampa hizo sifa?
 
Moyo unaenda mbio nikiona game za April zinazokuja kuanzia next week, Manchester City ana experience sana na game hizi ,kipara hajawahi kuanguka kwa marathon za namna hii anaweza akaboronga mwanzoni ila kwa game hizi za marathonje tutatoboa?Mungu atusaidie
 
Moyo unaenda mbio nikiona game za April zinazokuja kuanzia next week, Manchester City ana experience sana na game hizi ,kipara hajawahi kuanguka kwa marathon za namna hii anaweza akaboronga mwanzoni ila kwa game hizi za marathonje tutatoboa?Mungu atusaidie
We acha kuwa na wasiwasi mkuu,hapa tutapita kirahisi Sana Tena hutaamini.

Hivi unakumbuka hizi mechi zilivyofuatana na tulifanikiwa kukusanya point 7 out of 9
👇
Tottenham vs Arsenal
Arsenal vs Necastle
Arsenal vs Man Utd
 
Liverpool lazima ataamka na mmoja hapa ...

Either Chelsea au nyie viraka

Arsenal kumfunga Liverpool anfield ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano ...
Kitu ambacho Liverpool watahitaji kufanya watakapocheza na Arsenal Ni wazuie tu kufungwa mabao zaidi ya manne maana kupigo Chao Kiko pale pale.
 
Tukimpiga Liverpool for me shughuli itakuwa imeishia hapo

Tutahitaji kwenda kutangazia ubingwa etihad

Kwa Mpira tuliocheza Emirates vs City Basi tunaenda kumuua pale pale kwake
Upo sahihi kbsa mkuu
 
Mikel Arteta kuhusu Trossard:

Anaweza kucheza upande wa kulia, anaweza kucheza upande wa kushoto, anaweza kucheza kama kiungo mshambuliaji, kama 9, 9 wa uwongo.

Anachangia sana kwa timu na anachukua jukumu kubwa katika mchezo kufanya mambo yafanyike na tunapenda hilo." [

“Tulijua ubora wake na kile angeweza kuleta kwenye timu (tulipomnunua). Kwa kweli tumefurahishwa naye."View attachment 2573619
Hapa tulilamba dume aisee! Jamaa anajua kunyumbulika uwanjani
 
Without Partey and Jesus ,huku tukiwa na Nketiah aliyekuwa injury ,City almost alicheza counter attack whole game

Nachelea kusema Pale kwake kazi anayo

Saka alisema Tazama city wanakuja hapa wanapaki Basi utaelewa hatuogopi yeyote

Kwa wanaoangalia matokeo sio performance hawataelewa ndio wale tuliokuwa tunawaambia Manjesta na Spurs hawawez kugombea ubingwa wakawa wanakataa

Now Manjesta anapambania Kubaki top 4 au kucheza Europa na mwenzie Spurs
Hawa Manchester leo sioni wakitoboa kwa Newcastle
 
Kuna mshkaji hadi juzi akanitag kwenye compilation ya Mudryk

Anyway, banter ni nyingi kuna moja inasema Jana kwa uingereza timu zote zilipata angalau goli moja isipokua The Idiot.

Chelsea didn't lose it was April's fools day.

Nagelsman 2nd in the league - sacked
Conte 4th in the league - sacked
Potter 11th on the league - trust the process

Tuchel with Bayern won 4 - 2 and said there is still room for improvements. Potter lost 2 - 0 and said the boys gave everything.

Ramadan goes from 10 to 11 and so did Chelsea
Huyu Potter hafai kunifundisha hata Singida United sijui Chelsea waliona Nini kwake
 
Back
Top Bottom