Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,665
- 2,556
wanachomoa moja hapa
Mchazaji anaweza kuwa mzuri, lakini sifa anazipewa na gharama baada ya usajili! anakuwa flop.Wachambuzi humu Arsenal JF walimpa sifa za kutosha kumbe boya tu tupunguze uchambuzi wa sifa nzuri kwa kila player anayehusishwa na Arsenal wengine mazoba tu