Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Martinelli Jesus Saka

Hii Trio mapema Sana tutashinda jumapili

Xhaka & Partey kwenye midfield

Odegaard Kama Muunganishaji

Jesus ameanza kurudi kwenye ubora ,anarud chini kabisa kuchukua mipira

Akianza TAA nadhani tuta utarget Sana huo upande

Ila nahisi ataanza Gomez maana katika mechi 18 alizoanza TAA ,winger ,za Kushoto za timu pinzani wamekuwa MOT Mara 12-14
Upande wa Martinelli, Klopp akimuanzisha Gomez itamsaidia kwenye defence ila kwenye attacking upande wa kulia utakua poor.

Akisema amuanzishe TAA, kwenye attacking watakua vizuri ila ndo utakua uchochoro wa kupitia.

Akimueka Milner ndo kabisaa, ataenda kupimwa umri.. dk 20 hamalizi misuli itakua ishakaza.

It's up to Klopp now achague wapi ajipige bastola, either mguuni au kichwani.
 
Ninachohofia ni battle ya Salah v Zinchenko.. Salah akiamka vizuri ule upande kazi tunayo.

Na Salah ana kawaida ya kubaki kwenye mstari wa kati kipindi wapinzani wao wakienda kucheza kona ili kuwasaidia kwenye counter attacks.. sijui itakuaje mana beki wa kuzuia hizo alikua ni Saliba ambae ana speed, nguvu na uwezo mzuri wa kudefend.

Holding asije akatufanyia ujinga this time.
 
Battle ya kiungo sina shaka, uwepo wa Partey ndo kila kitu.. nina uhakika tutachuana.

Kule mbele Jesus akiendeleza moto wake aliouwasha kwenye mechi iliyopita kwa kuwa aggressive na kupress defence ya Liverpool vizuri, basi hatutakosa chochote kitu mana kuanzia kwa Allison na zile beki VVD/Matip wapo pale kwa ajili ya kufanya makosa. Beki pekee wa kufuta makosa yao ni Konate.
 
Pia tukiwa sharp kwenye kutumia nafasi zetu tutaimaliza mechi vizuri.

Battle ya Saka na Robertson itakua poa.

Trossard aingie sub aendeleze pale alipoishia.
20230120_204218.jpg
 
Martinelli Jesus Saka

Hii Trio mapema Sana tutashinda jumapili

Xhaka & Partey kwenye midfield

Odegaard Kama Muunganishaji

Jesus ameanza kurudi kwenye ubora ,anarud chini kabisa kuchukua mipira

Akianza TAA nadhani tuta utarget Sana huo upande

Ila nahisi ataanza Gomez maana katika mechi 18 alizoanza TAA ,winger ,za Kushoto za timu pinzani wamekuwa MOT Mara 12-14
Kaka pale ni Anfield usiseme mapema sana tutashinda no way baadae uje uwape wapinzani maneno machafu ya kututukana tangia 2012 hatujawahi kushinda pale yes tuna squad nzuri sana but remember Liverpool pale wamefungwa game 1 pekee this season
 
Ninachohofia ni battle ya Salah v Zinchenko.. Salah akiamka vizuri ule upande kazi tunayo.

Na Salah ana kawaida ya kubaki kwenye mstari wa kati kipindi wapinzani wao wakienda kucheza kona ili kuwasaidia kwenye counter attacks.. sijui itakuaje mana beki wa kuzuia hizo alikua ni Saliba ambae ana speed, nguvu na uwezo mzuri wa kudefend.

Holding asije akatufanyia ujinga this time.
Holding anapaswa aache mapepe atulize kichwa maana hua anapanic
Zinny ni muhimu kwenye hii game na Partey akiwepo anapunguza hatari ya transition zinazofanywa na liva
 
Kaka pale ni Anfield usiseme mapema sana tutashinda no way baadae uje uwape wapinzani maneno machafu ya kututukana tangia 2012 hatujawahi kushinda pale yes tuna squad nzuri sana but remember Liverpool pale wamefungwa game 1 pekee this season
Andaa timu vzr , uwe na Quality unashinda uwanja wowote ule duniani, kwani Madrid si kashinda 5 hapo hapo Anfiled juzi tu hapa

Tukifungwa Ni sehemu ya mchezo , ila usiseme tusiongee tunaenda kushinda hiyo ni defensive mechanism

Kwa Quality tuliyonayo tuna nafasi kubwa ya kushinda Comfortably kabisa , hata OT tulikuwa hatujashinda muda mrefu , Arteta kaenda pale kawapiga vzr tu,Chelsea pia kwao muda tulikuwa hatujawafunga tumeenda kwao akaanza kawapiga ,na siku hizi tunachukua matokeo pale pale kwao.
 
Andaa timu vzr , uwe na Quality unashinda uwanja wowote ule duniani, kwani Madrid si kashinda 5 hapo hapo Anfiled juzi tu hapa

Tukifungwa Ni sehemu ya mchezo , ila usiseme tusiongee tunaenda kushinda hiyo ni defensive mechanism

Kwa Quality tuliyonayo tuna nafasi kubwa ya kushinda Comfortably kabisa , hata OT tulikuwa hatujashinda muda mrefu , Arteta kaenda pale kawapiga vzr tu,Chelsea pia kwao muda tulikuwa hatujawafunga tumeenda kwao akaanza kawapiga ,na siku hizi tunachukua matokeo pale pale kwao.
Tusubiri hiyo Sunday
 
Ninachohofia ni battle ya Salah v Zinchenko.. Salah akiamka vizuri ule upande kazi tunayo.

Na Salah ana kawaida ya kubaki kwenye mstari wa kati kipindi wapinzani wao wakienda kucheza kona ili kuwasaidia kwenye counter attacks.. sijui itakuaje mana beki wa kuzuia hizo alikua ni Saliba ambae ana speed, nguvu na uwezo mzuri wa kudefend.

Holding asije akatufanyia ujinga this time.
Kwasasa hutakiwi kuwa na hofu na hicho kitu, tuombee wachezaji wawe sahihi maeneo mengi , mfano Winger zote za Arsenal zinarudi chini ,zinakaba ,na wanarudi within second ,tutumie nafasi vzr tu

Mechi tutaitawala Sana Kati ,why

Zinny Partey xhaka na Jesus amekuwa anarudi Chini kuchukua mipira ,hata mechi ya Emirates Kuna Goli alianzisha Yeye alichukua mpira kwenye Midfielde kabisa ,

Hivo kwenye Midfield tutakuwa na watu si chini ya wanne had watano
 
Tusubiri hiyo Sunday
Endelea kusubiri ,ila hii Arsenal tuliona ikigombea ubingwa toka pre season ,japo mlibisha Sana

Mechi ya Jumapili usitegemee Liverpool a dominate mechi

Hadi Sasa Epl mechi ya 29 ,Ni mechi Moja tu vs Brighton ndio mechi Arsenal alikuwa dominated Tena 2nd half

Wengine wote unaowajua wamekuwa wanapaki Basi muda mwingi
 
Holding anapaswa aache mapepe atulize kichwa maana hua anapanic
Zinny ni muhimu kwenye hii game na Partey akiwepo anapunguza hatari ya transition zinazofanywa na liva
Zinny Ni muhimu kuliko mchezaji yeyote kwa muono wangu, ndiye anafanya maamuzi magumu ya kuitoa timu chini kwenda juu kwa kuchukua Risk kubwa sababu ya uwezo wake

Kwa mechi tatu za mwisho nilizomuona Liverpool , kazi anayo aisee

Kwanza Arsenal Sasa hivi hawakubali kabisa ukae na mpira , ndio maana Ni timu Moja tu ilifanikiwa kwa kiasi kikubwa kutu dominate Tena 2nd half tayari tuna matokeo ,vs Brighton away .

Wengine wote Ni kuwapakisha Basi
 
Endelea kusubiri ,ila hii Arsenal tuliona ikigombea ubingwa toka pre season ,japo mlibisha Sana

Mechi ya Jumapili usitegemee Liverpool a dominate mechi

Hadi Sasa Epl mechi ya 29 ,Ni mechi Moja tu vs Brighton ndio mechi Arsenal alikuwa dominated Tena 2nd half

Wengine wote unaowajua wamekuwa wanapaki Basi muda mwingi
Na hiyo second half usisahau kusema ni baada ya kumtoa Partey na Zinny
 
Mechi ya kwanza Liverpool walikuja na 4-4-2



Tulikuwa tunawashambulia kwa shepu ya 3-2-5 (Tomiyasu-Partey; Xhaka-Ødegaard) tukawa tuna wa Overload kwa ratio ya 5v4

Siku za karibuni wanacheza 4-3-3 ,

This is how Arsenal play virtually every week except to an even better standard because Zinchenko will play over Tomiyasu.

It's key to note that City destroyed Liverpool last weekend playing in the same shape.

This is majorly beneficial for Arsenal & concerning for Liverpool.
IMG_20230407_142345.jpg
 
Zinny Ni muhimu kuliko mchezaji yeyote kwa muono wangu, ndiye anafanya maamuzi magumu ya kuitoa timu chini kwenda juu kwa kuchukua Risk kubwa sababu ya uwezo wake

Kwa mechi tatu za mwisho nilizomuona Liverpool , kazi anayo aisee

Kwanza Arsenal Sasa hivi hawakubali kabisa ukae na mpira , ndio maana Ni timu Moja tu ilifanikiwa kwa kiasi kikubwa kutu dominate Tena 2nd half tayari tuna matokeo ,vs Brighton away .

Wengine wote Ni kuwapakisha Basi
Zinny mchezaji muhimu kuliko mchezaji yoyote!? Hii haiwezi kua kweli.
Ametusaidia sana hiyo ni kweli jinsi anavyo switch position na ku cover ni unbelievable lakin sio muhimu kuliko wote. wanaopandisha timu mara nyingi n Partey, Ode na Saka. Na hao ndo nguzo ya timu kwa sasa.
 
Zinny mchezaji muhimu kuliko mchezaji yoyote!? Hii haiwezi kua kweli.
Ametusaidia sana hiyo ni kweli jinsi anavyo switch position na ku cover ni unbelievable lakin sio muhimu kuliko wote. wanaopandisha timu mara nyingi n Partey, Ode na Saka. Na hao ndo nguzo ya timu kwa sasa.
Wachezaji wengi wetu msimu huu Wana viwango vizuri

Ndio maana nimesema binafsi kwangu Zinny Ni mchezaji muhimu Sana

Hata wachambuz wengi maoni yao wanasema Zinny na Jesus Ni muhimu sana

Kiufundi kwangu Zinny Ni mchezaji muhimu ,Ile kuwa LB inverted to Midfielder,Winger ,AM sio kitu kidogo
 
Back
Top Bottom