Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hili Jukwaa siku 2 hizi limechangamka saaaana, yaani ni la moooto kila muda unatamani uchungulie comments mpya za wadau
hamis77 muda huu analichungulia hili jukwaa hivi
IMG_20230317_141810.jpg
 
"thithi atheno namna tunavyofanya prething, namna odegaard anavyo thwich play, namna dhinchenko anavyokuja kufanya overloading, namna tunavyofanya bildapu, hakuna timu inatamani kuja kuchedha na thithi atheno"

atheno karai
haaland kiatu.
 
Herzog hakauki humu. Acha tu tukutane na City tuwapige atulie kwake
Mtaenda kupoza machungu kwa soton, Mkishampiga 2-1 mtakuja tena humu kudanganyana pressing and overloading halafu unakuja pale demolition ground, Etihad stadium unakula mkono na hapo ndipo fans wote wa arsenyani mtakula kona tutakuja kuwaona mwezi august.
 
Ushabiki raha sana, yaani mtu timu yake hata ifanye vipi haiwezi kuikuta Points za Arsenal lakini anakuja hapa kubwabwaja kisa Arsenal amepata Sare mechi za Liverpool na ya Jana dhidi ya Westham Utd.

Ni kweli jana tumepata Sare lakini still bado tuna nafasi ya kushinda EPL, huyo City bado ana mechi ngumu vile vile kama Arsenal tu.

Muhimu tufocus na michezo iliyobaki tuhakikishe tuna shinda huku tukimwombea Mpinzani wetu naye apoteze alama kwenye michezo iliyobaki
Basi tufanye hivi, kila mtu ashinde mechi zake. Halafu mechi ya Etihad ashinde Man City maana Arsenal kufungwa ni lazima.

Mpaka hapo bingwa atakuwa nani? 😂
 
Basi tufanye hivi, kila mtu ashinde mechi zake. Halafu mechi ya Etihad ashinde Man City maana Arsenal kufungwa ni lazima.

Mpaka hapo bingwa atakuwa nani? 😂
Chukulia tumetoka Sare hiyo mechi na City alafu hizo factors nyingine zibaki constantly
 
Ukiwasikia vikauli vyao sasa
✓"Msimu huu tuna-overachieve malengo yetu ilikua top four"
✓"Approach yetu sisi kushinda game to game mwisho wa msimu kombe wataamua wampe nani"
Mwishoni imekuwa🤣
✓"We have come this far to lose the tittle to City"🤣🤣🤣🤣

Wadau wa soka tunasema Arsenal mkikosa hili kombe its a failure huwezi kuongoza ligi kwa robo tatu nzima ya msimu kisha ukasema malengo yalikua ni top four na sio ubingwa mtaingia katika historia "The biggest bottlers in EPL history"
 
"thithi atheno namna tunavyofanya prething, namna odegaard anavyo thwich play, namna dhinchenko anavyokuja kufanya overloading, namna tunavyofanya bildapu, hakuna timu inatamani kuja kuchedha na thithi atheno"

atheno karai
haaland kiatu.
Hawa wahuni kitu walichonikera zaidi ni ule Uhaini wao wa kujitangazia ubingwa mapema kabla hata ligi haijafika nusu.
Akili zao walishaziaminisha kua kubeba kombe la ligi kuu ni rahisi tu kama kubebe FA Cup.
Tena walivyo wapuuzi wakawa wanajazana ujinga eti mbinu nyingi za mpira Pep Guardiola amejifunza kutoka kwa Arteta.
Screenshot_20230301_174227.jpg
 
Hawa wahuni kitu walichonikera zaidi ni ule Uhaini wao wa kujitangazia ubingwa mapema kabla hata ligi haijafika nusu.
Akili zao walishaziaminisha kua kubeba kombe la ligi kuu ni rahisi tu kama kubebe FA Cup.
Tena walivyo wapuuzi wakawa wanajazana ujinga eti mbinu nyingi za mpira Pep Guardiola amejifunza kutoka kwa Arteta. View attachment 2590958
Kumbe arteta anapengo😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom