Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

IMG_6043.jpg
 
Timu inaongoza ligi lakini mashabiki wake wamekimbia mafichoni
Ndio hapo sasa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Yani timu inaongoza lkn haya majibwa yamejificha kusikojulikana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Chelshit, Liverfuul, Man7 yamejazana hapa kujaribu kuisema Arsenal ambayo ipo vizuri zaidi yao na nyote imewakojolea.....


Jifuteni mwende kwenye majukwaa yenu wangese nyie.

Arsenal has still improved in its own way, Title winning wasn't in our plan before the start of the, it just came by the way and might leave the same way it came.

We are still playing game-by-game and focus on NEXT GAME.

Tokeni mkazungumzie hali zenu kima nyie
 
Chelshit, Liverfuul, Man7 yamejazana hapa kujaribu kuisema Arsenal ambayo ipo vizuri zaidi yao na nyote imewakojolea.....


Jifuteni mwende kwenye majukwaa yenu wangese nyie.

Arsenal has still improved in its own way, Title winning wasn't in our plan before the start of the, it just came by the way and might leave the same way it came.

We are still playing game-by-game and focus on NEXT GAME.

Tokeni mkazungumzie hali zenu kima nyie
Hatimaye Hamisi77 umeamua kuja kwa ID nyingine.

Karibu sana Ndugu yetu, tulishajipanga kwenda kukutafuta mochwari zote hapa TZ maana Washabiki wa Arsepimbi ndiyo huwa wanaongoza kujinyonga/kujiua duniani [emoji23]
 
Chelshit, Liverfuul, Man7 yamejazana hapa kujaribu kuisema Arsenal ambayo ipo vizuri zaidi yao na nyote imewakojolea.....


Jifuteni mwende kwenye majukwaa yenu wangese nyie.

Arsenal has still improved in its own way, Title winning wasn't in our plan before the start of the, it just came by the way and might leave the same way it came.

We are still playing game-by-game and focus on NEXT GAME.

Tokeni mkazungumzie hali zenu kima nyie
Yani na akili zako unashabikia Arsenal? Kwanza ngoja nikuulize, una umri gani wewe au mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mana hakuna kijana mwenye akili timamu atashabikia timu ya wanawake hii ambayo haijawahi kuchukua uefa wala europa tangu ianzishwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hatimaye Hamisi77 umeamua kuja kwa ID nyingine.

Karibu sana Ndugu yetu, tulishajipanga kwenda kukutafuta mochwari zote hapa TZ maana Washabiki wa Arsepimbi ndiyo huwa wanaongoza kujinyonga/kujiua duniani [emoji23]
Toa upumbavu wa kulinganisha watu, kila mmoja hana tabia za kitoto kama zako.
 
Yani na akili zako unashabikia Arsenal? Kwanza ngoja nikuulize, una umri gani wewe au mzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mana hakuna kijana mwenye akili timamu atashabikia timu ya wanawake hii ambayo haijawahi kuchukua uefa wala europa tangu ianzishwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tumia akili yako, usilete mambo ya vijiweni kama point za kunijibia.

Kuishabikia Arsenal inakuwaje tatizo lako sasa
 
Unafikiri kila mmoja jobless kama wewe? embu fanya mambo yenye faida kwa maisha yako, kuja kushinda kuamulia watu wafurahi au wasifurahi ni dalili za kishoga kwa mwanaume.
Enda ulilie kwa choo [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom