Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal ni disgrace. Unawezaje ku draw game uliyoongoza 2-0 wakati wewe ni title contender.

Hizo sio tabia za mabingwa. City ana kiporo kimoja. Race yenu imeishia hapa.

Save this
Naendelea kusisitiza. Huwezi ku draw game uliyoongoza 2-0 wakati wewe ni title contender.
Hii ilikua sign mbaya sana
 
Msimu huu excuses zilikuwa nyingi but team kudrop dalili zilianza mapema hakuna competition zote ambazo tumeshiriki tulifika quarter finals ni moja ya dalili ambayo niliiona but sikutaka kuamini but kumbe nilikuwa na mawazo ya ukweli unatolewa FA na Carabao (round za mwanzo) Europa (16 round) bado excuses zinakuja leo tumeanguka kama gunia la viazi
 
y'all needed this humble maana u became so cocky. Binafsi nilitamani City asichukue ubingwa ila mashabiki wa Arsenal mnakera sana kwa makelele so take that L.
Bitch, be humble (hol' up, bitch)
Sit down (hol' up, lil', hol' up, lil' bitch)
Be humble (hol' up, bitch)
Sit down (hol' up, sit down, lil', sit down, lil' bitch)

Be humble (hol' up, hol' up)
Bitch, sit down (hol' up, hol' up, lil' bitch)
Be humble (lil' bitch, hol' up, bitch)
Sit down (hol' up, hol' up, hol' up, hol' up)
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Niliwaambia msibishane na wajinga wajinga hawajui kitu
IMG_6076.jpg
 
Wakikosa ubingwa Hawa arsenal Kuna vitu vifuatavyo vitatokea.Mashabiki watapigana sana Kila mtu akimlaumu mwenzake kuwa na matarajio ya kujenga angani .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom