Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Angalia game yetu ya msimu uliopita dhidi ya Totenham (ya kuamua kwenda UEFA). Holding limeingia limepanick, tukafa.

Angalia game yetu dhidi ya City ya FA. Arteta anaweka rotation ya kisenge, tukapigwa. Angalia game yetu nyingine na City msimu huu Epl, Tomiyasu kapanic, wachezaji wanapoteza concentration, game tumepoteza.

Angalia Ueropa dhidi ya sporting cp. Ile first game tu inakuonyesha Ile ni timu ya namna gani, second match Arteta anafanya makosa yaleyale (rotation za kiduanzi, mechi za pressure kubwa), matokeo yake tumetolewa.

Na huu ubingwa tunaukosa Kwa makosa yaleyale ya miaka (kupaniki na kupoteza concentration)

Pole sana.
 
Aliesababisha penalty alikua Nani?
Tatizo hujajua kama hii kitu huwa ipo organized hata kabla ya mechi. Mpigaji anakuwa tayari amepangwa kwamba atapiga flani endapo zitatokea penalty. Kwani hata mechi zingine nan huwa anapiga? Ni huyohuyo ila Leo bahati tu haikuwa kwake
 
Tatizo hujajua kama hii kitu huwa ipo organized hata kabla ya mechi. Mpigaji anakuwa tayari amepangwa kwamba atapiga flani endapo zitatokea penalty. Kwani hata mechi zingine nan huwa anapiga? Ni huyohuyo ila Leo bahati tu haikuwa kwake
Bukayo Saka ndio kaiuza Arsenal leo sijui ameingia anawaza nini
 
Angalia game yetu ya msimu uliopita dhidi ya Totenham (ya kuamua kwenda UEFA). Holding limeingia limepanick, tukafa.

Angalia game yetu dhidi ya City ya FA. Arteta anaweka rotation ya kisenge, tukapigwa. Angalia game yetu nyingine na City msimu huu Epl, Tomiyasu kapanic, wachezaji wanapoteza concentration, game tumepoteza.

Angalia Ueropa dhidi ya sporting cp. Ile first game tu inakuonyesha Ile ni timu ya namna gani, second match Arteta anafanya makosa yaleyale (rotation za kiduanzi, mechi za pressure kubwa), matokeo yake tumetolewa.

Na huu ubingwa tunaukosa Kwa makosa yaleyale ya miaka (kupaniki na kupoteza concentration)
Ubingwa ni mbio ndefu,, ilikuwa ni lazima mzurure tu
 
Angalia game yetu ya msimu uliopita dhidi ya Totenham (ya kuamua kwenda UEFA). Holding limeingia limepanick, tukafa.

Angalia game yetu dhidi ya City ya FA. Arteta anaweka rotation ya kisenge, tukapigwa. Angalia game yetu nyingine na City msimu huu Epl, Tomiyasu kapanic, wachezaji wanapoteza concentration, game tumepoteza.

Angalia Ueropa dhidi ya sporting cp. Ile first game tu inakuonyesha Ile ni timu ya namna gani, second match Arteta anafanya makosa yaleyale (rotation za kiduanzi, mechi za pressure kubwa), matokeo yake tumetolewa.

Na huu ubingwa tunaukosa Kwa makosa yaleyale ya miaka (kupaniki na kupoteza concentration)
Ubingwa ni mbio ndefu,, ilikuwa ni lazima madogo mzurure tu
 
Bukayo Saka ndio kaiuza Arsenal leo sijui ameingia anawaza nini
In case of penalty sidhani kama anapaswa kulaumiwa. He's a human being, not every time he'll be perfect.. remember the moments when he did better and you enjoyed his efforts... Why today? Inatokeaga tu mkuu. Cha kulaumu ni form nzima na concentoya arsenal kwa ujumla kushindwa kulinda kile walichonacho, basi
 
2
Screenshot_20230416_200714_All%20Goals.jpg
 
Back
Top Bottom