ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
Pole mkuu Montserrat umeongea kwa uchungu sana utadhani hicho kitimu ni cha babaako.Itachukua miaka mwingi kupata nafasi kama hii, halafu tunavuruga mwishoni
Pole mkuu Montserrat umeongea kwa uchungu sana utadhani hicho kitimu ni cha babaako.Itachukua miaka mwingi kupata nafasi kama hii, halafu tunavuruga mwishoni
Sisi hatujali ilimradi anacheza kombe la ulaya.Huyo kipara wako anacheza UCL.?
Kuna Asenyani yeyote anawaza Ubingwa humu???![]()


Asenyau wazee wa taito kunitenda.***** hawa the gunners mtakufa mapema asee1: Man City
2: AssAnal
3: Man U
4: Newcastle
Hakupaswa kumaliza gemukatoka nje ya mchezo kabisa ila leo mwanzo mwisho game imemkataa .
Ngoma ya watoto haikeshi. HahahahBora mimi Chelsea najijua kabisa nna timu ya wacheza rede kuliko nyie AssAnal mnakaza mwanzoni afu mnakuja kuzngua dkk za mwisho
Hakupaswa kumaliza gemu
Arteta kwenye subs bado, naona presha imekua kubwa kuanzia kocha hadi wachezaji

