Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Mechi ya leo ndo ilikuwa inaamua ubingwa wenuWimbo tutaoimba ni #London is Red na kombe letu
Mmeichezea
Subirini kilio

Mechi ya leo ndo ilikuwa inaamua ubingwa wenuWimbo tutaoimba ni #London is Red na kombe letu

Well, we focus on the next game hatuna ahida na fixtureNenda kaangalie fixtures za April mkuu, zinafikirisha sana.
Dharau hizo kakaChelsea kwenye list ni kama nani? Observer au
Bado ulikuwa na matumaini ya kushinda hii mechi!!! Wachezaji na kocha wako walitamani iishe hata dakika ya 75 kwa ile pressure uliyopigwa. Tulia uangalie ball possession ya 2nd half, shots na chances Liver misses. Ndio utajua huna timu.Bado Arsenal tulikuwa na nafas ya kuimaliza mechi even dk ya mwisho, why Liverpool hajashinda
Hahaha 🤣 city kadrop points kwa out of form united na mid table teams.Arsenal are yet to face Chelsea & Brighton (home), and Man City & Newcastle (away), while Man City's biggest remaining fixtures are Arsenal & Chelsea (home).
Kama haaland tu atakavyo wafirigisa pale ettihad.Chelsea kwenye list ni kama nani? Observer au
Hakuna kupaki basi hapo, na aseno hana tabia ya kupaki basi. Ni pressure kubwa waliyopelekewa wakajikuta hawasogei mbele wala sio mpango wao kupaki bus.Nawaambieni hili bus mlilopaki leo mtalikumbuka tu mwisho wa siku
Yaani litawacost
Kama mnabisha susbirini muone.



Ligi ina mechi 38, huwezi kusema mechi moja ndio inatoa ubingwaMechi ya leo ndo ilikuwa inaamua ubingwa wenu
Mmeichezea
Subirini kilio![]()
Sasa timu hata kwenye nafasi 10 za juu haipo ni ya kuiweka kwenye list? Hao wenzao kina Leeds na SouthamptonDharau hizo kaka
Mlishindwa kweli kwenda na moto mlioanza nao!Hakuna kupaki basi hapo, na aseno hana tabia ya kupaki basi. Ni pressure kubwa waliyopelekewa wakajikuta hawasogei mbele wala sio mpango wao kupaki bus.


Ni mlevi tu ndo anaweza kusema kupoteza mechi ya leo ni kumpa city ubingwa
Yani sasahivi ni Arsenal vs WorldHadi punda walioliwa 7 wanakuja kutoa ushuhuda.
This is massive
SawaLigi ina mechi 38, huwezi kusema mechi moja ndio inatoa ubingwa
Tulipoteza game ya city na tukawa level kwenye point ila hakuna aliedhani tungebounce back na kurudi kwa utofauti wa points kadhaa
Ni mlevi tu ndo anaweza kusema kupoteza mechi ya leo ni kumpa city ubingwa






Mkuu ndugu kama wewe ni michezo yako ni ruksa kuendelea kwani si ni wako mwenyewe? Acha uendelee kupakuliwaAcha shobo mtoto wa kiume utapakatwa uanze kulia