Daaah. Na tuna kithembe kabisa Sasa 😄😄😄"Atheno mwaka wetu huu"
"Namna tunavyofanya prething and overloading hakuna team inataka kucheza na atheno"
Kmamaeee.
, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji41]Positional playing nyenyenye kumbe uharo mtupu.
Arsenal ya humu JF ndio ingekua inacheza saivi hii timu ingekua ishatangaza ubingwa.
Poor arsenyaus.
Tuna imani na Arteta mikumi tena.Safari bado ndefu sana
Tukiendelea na mfumo huu wa kuweka timu nyuma hatutoboi