joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,841
- 39,446
Ila Arsenal daah still bado hata kocha yetu ana lack of maturity, kuna haja ya kula pindi kwa Fergie na Morinho ambao wanajua jinsi ya kucheza mechi za mwisho ambazo zina amua ubingwa.
Wachezaji nao inabidi wakue kidogo wajue tupo kwenye mbio za kugombea ubingwa, mechi ya pili tunaongoza mbili zote zinachomolewa.
Hivi Etihad hapo sijui itakuwaje daah.
Wachezaji nao inabidi wakue kidogo wajue tupo kwenye mbio za kugombea ubingwa, mechi ya pili tunaongoza mbili zote zinachomolewa.
Hivi Etihad hapo sijui itakuwaje daah.

he knows why he cried 