Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

RAPHINA YES OR NO?


| #Arsenal’s sporting director Edu Gaspar has made contact with Raphinha’s agent Deco over a possible January move after Chelsea successfully hijacked their bid for Mykhaylo Mudryk,


reports @NizaarKinsella for @standardsport #afc
 
Ndio Ubingwa wenu msimu huu
Tukubali tu kwamba bado timu enu ni takataka haina mvuto bado kikosi kenu hakijaaminika na wachezaji wengi waliosajiliwa na arteta walikosa option kwenye timu zao mufano zichenko, jesuse hawa walikuwa benchi woma pale city b..!ivyo mtu kazi kaa Mudrikly ni regulara starter timu oote ile duniani. Poleni sana jengeni mvuto kwanza kwa wachezaji
 
Wachezaji wengi wapo sokon ,sema wengine hatuwajui

I think tutaenda kwa Raphina au Trossard
hao poa. tetesi za kuwa trossard kagombana na kocha wake ni za kweli? hapo si changamoto maana sisi hatupendi watovu wa nidhamu? arsenal wanachagua wachezaji kama mwanaume anayetafuta mke aisee
 
Msimamo wa ligi mpaka kufikia May
1: Manchester United
2: Manchester city
3: Newcastle United
4: Arsenal
Nyie maboya huo ndio msimamo wa ligi msimu huu, napia si hivyo tu Hadi carabao,FA na Europe huyo mwamba hapo juu namba 1 bado anashiriki, hivyo mtajua hamjui msimu huu mechi 8 mfululizo unbeaten and still more suplise to come for the red devil's
HUYU MTU ANA AKILI SANA, TUMJENGEE WAPI MNARA?
 
Red Card ya Felix imechangia sana Chelsea ku-hijack dili la Mudryk kama ambavyo majeruhi ya Pulisic imechangia sana Chelsea ku-hijack dili la Felix
Tuombe pia alzipilicueta aumie tusajili mchezaji kwenye nafasi yake
 
Kwa leo Spurs katuzidi sehemu mbili kwa kipa na ST. With Kane wana experienced ST kuliko sisi na Nketiah na kwangu Lloris is a better keeper than Aaron. Also Kulusevski is a genius, pace, tech na skills vyote anavyo.

Ila we have good defense, in form wings na mid nzuri. So we have a chance hapa. Spurs bado wana style yao moja ya kucheza ya counter, long balls na through balls kama kikosi ni hichi Winks hatokuepo so thru balls zinaweza zisiwe nyingi sana.

White hatatakiwa kupanda sana na kujisahau kwakua hana pace ya kumatch na Son, formation ya Spurs ni vulnerable kwa wings na forwards zenye pace na tunao hao wachezaji.

Recently tukicheza na Spurs kane amegewa penati hapa na pale, Gabriel aache mapepe.

Hata hivyo natamani tusicheze 4 3 3 turudie 4 2 3 1 kwaajili ya hii mechi. Timu yenye njaa ndiyo itanyanyuka na points tatu leo
 
Back
Top Bottom