BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,169
- 2,487
Yaaaaap, hata na Newcastle, tulihitaji ushindi.We need to win the next match that's our priority
Ufinyu wa kikosi ukatugharimu pia.
Yaaaaap, hata na Newcastle, tulihitaji ushindi.We need to win the next match that's our priority
Daah wewe umeongea maneno ya kislay queen kinoma. Watu tunatoka kuvunja kibubu wewe unasema hatuna Hela? 😆😆😆Hawa ni omba omba, mbona man u hawana hela wanajikokotea zao wachezaji wa mikopo bila ushindani, ila hawa kelele nyiiingi hela hamna
Jitahidini mjichinjie hao kuku angalau muanze kusalvage season yenu maana pale ndiyo pa Kila mtu kijiokotea points 3.Wale mashabiki wa Mudrykmnakaribishwa Darajani Mechi na Liverpool atacheza
Serious nimeona umeweka signature unadeal na mavazi.
Kabisa mkuu.Serious nimeona umeweka signature unadeal na mavazi.
Daaahh HENRY14 nimejitahidi sana kufatilia comments zako na nimejihakikishia bila ya shaka yoyote kua wewe ni mpenzi halisi wa mpira na wala sio shabiki wa mpira kama kina sisi.Siwezi kusema ataflop au kumwombea hivyo. Kumbuka pale darajani Kuna bonge la project linajengwa. Atakuwa na kina Nkunku na wengine kama 50 hivi so atakuwa katika kikosi kizuri ambacho kikikaa sawa uwanjani kitasumbua sana. Kwa sasa wako katika transition period hivyo hatuwezi kuwajudge Kwa performance za hivi karibuni. Wapate muda wa tulie wajijenge wataonesha uwezo wao.
Chelsea now ndio wanatoa hiyo hasa hasa hawa ambao wako chini ya miaka 25,Hivi umewahi ona wapi mchezaji anagewa mkataba wa miaka 7?
Add Brighton hapo kwq siku za hivi karibuni.Hua nashangaa timu kama Napoli au Dortmund wanaingia chimbo wanakuletea mtu wa 16M na anawasha moto mpaka chelsea et el watakuja kutoa 100M
Kwamba Arsenal scouting yetu haina connection sana au?
Vipi mkuu 🤣🤣🤣Arteta tayari ana plani , sio Huyo Zitto
Dah mara 10 tungemchukua Felix kwa mkopo kuliko kukosa vyote inaweza kutucost sio tu ubingwa especially Akiumia Saka ama Martinelli.Last year hatukusajili forward tukapiga kelele top 4 ikasepa kama utani and now on naona yale yale yanajirudia tena 11 squad ya kutisha but benchi hoi bin taabani anyway let's wait and see
Kabisa aisee, tuna delay sana kwenye deal moja, alf ndo kama hiki kilichotokea mpaka sasa tungekua tumekamilisha sajili mbili fasta kuongeza nguvu kikosini, au hadi tufungwe ndo watakumbushwa,..Last year hatukusajili forward tukapiga kelele top 4 ikasepa kama utani and now on naona yale yale yanajirudia tena 11 squad ya kutisha but benchi hoi bin taabani anyway let's wait and see
Na ndiyo nanotice hapa. If all goes well mtakua mmeset standards ikibackfire mnakua laughing stockChelsea now ndio wanatoa hiyo hasa hasa hawa ambao wako chini ya miaka 25,
Kama mchezaj akiperform vizuri ni advantage kwenu changamoto nipale akashindwa kuperform
Tulitakiwa tuongeze at list 2 players na wote wamechukuliwa na rival tuna strong 11 squad akiumia mmoja wapo hata top 4 itakuwa rehaniDah mara 10 tungemchukua Felix kwa mkopo kuliko kukosa vyote inaweza kutucost sio tu ubingwa especially Akiumia Saka ama Martinelli.
Ngoja tuone labda kuna best option zingine zipo, nahis saiv Edu na wenzake watakua wameamka kuhusu kuchelewesha deal, kama timu haieleweki kukuuzia mchezaj achana nao basiDah mara 10 tungemchukua Felix kwa mkopo kuliko kukosa vyote inaweza kutucost sio tu ubingwa especially Akiumia Saka ama Martinelli.
Mid ndiyo ilituuaLast year hatukusajili forward tukapiga kelele top 4 ikasepa kama utani and now on naona yale yale yanajirudia tena 11 squad ya kutisha but benchi hoi bin taabani anyway let's wait and see

