mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Labda misimu miwili mbele (huu na ujao)"Majirani pambaneni mbebe ndoo msimu huu, tuko upande wenu. Wanaume tukianza ligi msimu ujao hatutaacha hata kikombe cha mbuzi inazagaa zagaa.
Take this as a warning"
Timu sio choo kwamba ukishachimba shimo kufunika na kuanza kutumia
Tomas T, alifanya mapendekezo na usajiri. Mkamtimua mkampa kazi chicknoris, amabapo yeye na TT falsafa tofauti
Matokeo mabovu, hakuna mpira unaochezwa
Chicknoris
Anafanya mapendekezo na usajiri, mambo yakienda mrama (90% possible) nae mtamtimua atakuja kocha mwingine mwenye falsafa tofauti na yeye atataka wachezaji wake. Fagio litaanza tena
process sio kitu rahisi.
Japo niwatakie tu kila la kheri

