allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,332
- 10,973
Sasa arsenal miaka ya leo mnaleta umbinde kama wa enzi za wenger tu kweli nimeamini arsenal ni timu level za Fulham aise.
Yani club mchezaji wa bei nyie kumchukua ni pepe kale tu sasa miaka ya leo utampata nani kama utaki kumwaga hela.
Saizi pound 100 hesabu kama 50 tu acheni umbinde saizi amna cha mahaba na club sijui nini saizi wachezaji wanataka hela.
Yani club mchezaji wa bei nyie kumchukua ni pepe kale tu sasa miaka ya leo utampata nani kama utaki kumwaga hela.
Saizi pound 100 hesabu kama 50 tu acheni umbinde saizi amna cha mahaba na club sijui nini saizi wachezaji wanataka hela.