Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sasa chelsea wamehamia kwa Antonio wa Westham utd watasajili dunia hawa
Screenshot_20230115_010452.jpg
 
hao poa. tetesi za kuwa trossard kagombana na kocha wake ni za kweli? hapo si changamoto maana sisi hatupendi watovu wa nidhamu? arsenal wanachagua wachezaji kama mwanaume anayetafuta mke aisee
Trossard ana kiburi, tangu arudi WC haelewani na kocha kapigwa adhabu bado sasa amemwambie agent wake anataka kutoka Brighton mwezi huu wa january
 
Chelsea wametufanyia uhuni mkubwa, ila Shakhtar ndio waliweka ugumu mkubwa Sana ,


Nobody's knows tomorrow but Mudrky hiki ni kipaji , ....labda yakamkute yaliyomkuta Felix ATM au yanayomkuta Ziyech na Kai pale Chelsea
Mlikuwa na over confidence kwa vile mchezaji aliwalike sana kwenye social media
Mlijiamini sana kwa kudhania case ya Mudryk ni kama ya Raphina
Mliwadharau sana Shaktar mkadhani watakubali tu, hata walipokuja London mlijua wanaigiza, jifunzeni kutokana na hili dili la Mykhailo. Next time wanaume kama Chelsea wakiingia dukani kuulizia bei ya bidhaa msiwe na madharau
 
Si umesema ninyi hamchukui mchezaji above 25?
  1. Raphina 26
  2. Trossard 28
Hao Ni wazuri kwa short term ,na kwa dirisha la January wanafaa ,sidhan Kama 26 Raphina hafai kwa project

Japo Hadi Sasa kuanzia project hii mpya ,hatujasajili mchezaji above 25 , hata tulipomtaka Raphina alikuwa 25

Trossard Ni option nzuri sokoni
 
Mlikuwa na over confidence kwa vile mchezaji aliwalike sana kwenye social media
Mlijiamini sana kwa kudhania case ya Mudryk ni kama ya Raphina
Mliwadharau sana Shaktar mkadhani watakubali tu, hata walipokuja London mlijua wanaigiza, jifunzeni kutokana na hili dili la Mykhailo. Next time wanaume kama Chelsea wakiingia dukani kuulizia bei ya bidhaa msiwe na madharau
Mwisho Ni maamuzi ya mchezaji ,Alisema Arteta wiki iliyopita

Mbona dili la Jesus mliingia mkafeli,kwa Raphina ,kounde wakaenda Barca regards mliwaofa big salaries

Usajili una drama zake na ndio hizi,

Shakhtar Ni dhahiri walifanya Siri ,ndio maana walitukazia, toka Jana asubuhi wanatu joke kwenye page Yao ,

Sio Fabrizio, sio David Ornstein au Matt D law walijua kinachoendelea Hadi jion.
 
Trossard ana kiburi, tangu arudi WC haelewani na kocha kapigwa adhabu bado sasa amemwambie agent wake anataka kutoka Brighton mwezi huu wa january
sidhani kama huyo atamfaa arteta
 
Nasikia Chelsea tumeanza mazungumzo na Barcelona kumsajili Raphina ambaye ni Taregt wa Arsenal

ILianza Felix
Ikaja kwa Mudryk
NA sasa tunamtaka Raphina
Ninyi mnafanya scout sisi tunabeba tu
Chelsea wachezaji tayari wameshajaa labda muuze,

Mudrky tayari ana 22yrs hawez kuwekwa Kwa Non homegrown players ,
 
Mwisho Ni maamuzi ya mchezaji ,Alisema Arteta wiki iliyopita

Mbona dili la Jesus mliingia mkafeli,kwa Raphina ,kounde wakaenda Barca regards mliwaofa big salaries

Usajili una drama zake na ndio hizi,

Shakhtar Ni dhahiri walifanya Siri ,ndio maana walitukazia, toka Jana asubuhi wanatu joke kwenye page Yao ,

Sio Fabrizio, sio David Ornstein au Matt D law walijua kinachoendelea Hadi jion.
Na ndio maan hizi news zilikuja kama za kushtukiza
 
Hao Ni wazuri kwa short term ,na kwa dirisha la January wanafaa ,sidhan Kama 26 Raphina hafai kwa project

Japo Hadi Sasa kuanzia project hii mpya ,hatujasajili mchezaji above 25 , hata tulipomtaka Raphina alikuwa 25

Trossard Ni option nzuri sokoni
Ila niwatahadharishe, Raphina hakuna mchezaji pale
Yeye yuko vizuri kwenye kushoot na kutoa krosi basi. Hawezi kudrible kabisa. kwa hiyo kama mnamtaka mtu wa kufunga nje ya 18, kupiga free kicks na kona na krosi zingine huyo anawafaa
Je mfumo wa Arteta unamuhitaji mtu kama huyo?
Barca mfumo umemtema chini, nilisema hiki kitu wakati Barca wanahijack hili dilikuwa mchezaji kama Raphina hafai uchezaji wa Barca na City

Anyway anaweza kufaa Arteta style kwa sababu Arteta anafundhsha "TOTAL FOOTBAL" ambayo Raphina ndiko anafit zaidi

Huu mfumo Leeds ndio walikuwa wanatumia na ndio maana Raphina akavuma. Arsenal na ninyi mnacheza kama Leeds ya wakati ule wa Marcelo Biesla
 
Back
Top Bottom