John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Akija Chelsea huyu dogo, nafuta app ya Jamii Forums.. siingii tena!
Screenshot hii if possible, for your own reference.




duhAkija Chelsea huyu dogo, nafuta app ya Jamii Forums.. siingii tena!
Screenshot hii if possible, for your own reference.




duhKikosi chetu sisi kidogo sana nakubaliana nawewe maana hata ile mechi ya Newcastle nje tulikua na Elneny,Tieney,Tomiyasu,Holding,Vieira,Lokonga... yani kwa kuangalia hamna wakubadilisha matokeo! Ila kwa upande wa pili mpira nao una mambo yake maana aliumia Partey hadi anarudi mmetufunga nyie tuu tena kwa mbinu mbinu tuu na mlituheshimu hamkutaka kushindana nasisi ila sasa wakati tupo full kikosi tumeshindwa kumfunga SOTON ambayo inaburuza mkia, umeona mpira jinsi ulivyo? na ndio sababu tunaupenda sana mpira wa miguu maana kuna mda haukupi unachofikiria,kwaio kumbe Lokonga huyu huyu alijitahidi kwenye baadhi ya mechi pia Arsenal msimu huu uzuri wetu tumechukua points sana kwenye hizi average timu kitu ambacho timu kubwa kimewashinda,Mkuu mimi binafsi nakuhakikishia kwa kikosi chenu hiki bila kuongeza wachezaji wa maana kwenye dirisha hili la usajili hio top 4 hamtoboi.
Hao kuku wakubwa ndiyo wamekufikishs hapo kama sikoseiAcha kudanganya wewe, waache kuisajili washuke daraja
Nyie Arsenal mmetotoa vifaranga na sasa wamekuwa wakubwa. Sio kila timu inatotoa vifaranga
Wengine tunanunua kuku walubwa
Hii kawaida kwenye transfer kutokea issue Kama hizi
Ni kweli mkuuHii kawaida kwenye transfer kutokea issue Kama hizi
Tunafocus na mechi ya leo
Kuna wachezaji wengine sokoni , Tuwe watulivu ,Arteta na Edu wanajua Cha kufanyaLabda Chelsea wanatafuta first 11, wameona reasonable kutoa 100m
Ila backup ya saka/martinel hauweze kutoa huo mzigo, labda 60-70m
Saka, saliba, martinel hawa pia inabidi wajeku-renew mikataba
Lazima ucheze vizuri na wage structure
Mshahara utakao mlipa mudryk ambae anaikuta arsenal iliyopambaniwa na hao wapambanaji
Hao wapambanaji lazima na wao wata-demand pesa kubwa sana. Na watakua sahihi
Kuna unafuu sana kumkosa mudryk kuliko kumpata
NB
Mudryk ni bonge moja la player
Kumbuka tulipomkosa Martinez ,tulimpata ZinchenkoNi kweli mkuu
Na sasa hivi tunatafuta backup ambapo hizo options bado zipo nyingi tu




New insight into the Gabriel Jesus transfer. His agent, Marcelo Pettinati, tells me:
inasemekana katika personal terms, angeanza na mshahara wa 60k p/w hivi halafu ataanza kuongezewa mwaka kesho kulingana na performance. alikuwa amekubali maana kwao anapata kama 13k p/w. hivyo mshahara haukuwa tatizo. transfer fee ya timu yake ndiyo ilikuwa shida kuu.Labda Chelsea wanatafuta first 11, wameona reasonable kutoa 100m
Ila backup ya saka/martinel hauweze kutoa huo mzigo, labda 60-70m
Saka, saliba, martinel hawa pia inabidi wajeku-renew mikataba
Lazima ucheze vizuri na wage structure
Mshahara utakao mlipa mudryk ambae anaikuta arsenal iliyopambaniwa na hao wapambanaji
Hao wapambanaji lazima na wao wata-demand pesa kubwa sana. Na watakua sahihi
Kuna unafuu sana kumkosa mudryk kuliko kumpata
NB
Mudryk ni bonge moja la player