Napoli alikufunga mara mbili. Arsenal akamfunga Napoli mara mbili.Ningeshangaa sana, timu imfunge Liverpool halafu Arsenal aifunge!
Sizinga Tutaanza kuongea lugha moja Sasa sisi Chelsea tunamfahamu Sana willian, Willian anatabia ya kukiwasha pale tu anapotaka kuongeza mkataba mpya aftermath kiwango chake kinashuka + na umri umeenda ndio maana Chelsea hawakutaka kumpa mkataba wa miaka 3 aliyokuwa akitaka so mmepigwa kweupe mzeeWillian naona kama ni galasa hivi
Mlitaka kupaki bus hata na kwa aston villa?Kikosi kilichocheza OT ndiyo kimeanzishwa leo.
Elneny na Partey wapo katikati

Arteta ana mbinu nzur anapopak bus shida huja akiwa nyumban anatakiwa kufunguka hapo ndipo vichapo vinatokea
Vip kuhusu Willian? Mzee baba tuliwaambia kuhusu Willian na Chelsea walikuwa si wajinga kumuacha huyo mchezajiKatika game za msimu huu tulizofungwa na ikaniuma ni ya liva.
Hatukuonyesha quality kivyovyote. Laca akakosa two big chances. Hii haijaniuma koz hata hizo chances hakuna, ni kumiliki mpira tu na shots za hapa na pale.
Tukicheza na timu zinazopaki basi ndiyo unaona pengo la namba nane kwa uwazi kabisa.
Insane
🤣🤣🤣 Vip jamani Willian?Next,
Leeds![]()
Chelsea anashinda game mfululizo na Jose Mourinho with many goals so usijipe hopeMsimu huu timu zote zile big 6 zinastruggle kua kwenye form ndiyo sababu unakuta City kala 5 na Liva kala 7 na baadhi ya mashabiki wanaamini Arsenal anaweza pambania ligi (kinyume na maono ya kocha)
So hakuna timu ambayo imekua kwenye smooth run so far, huyu aliyetufunga leo ametoka kupoteze games mbili mfululizo. Sisi tulipokua tunakutana na Man tulikua tumetoka kupoteza games tatu mfululizo.
Kila timu inahaha kuipata form.
Na zote zinalenga Januari ifike zizibe viraka ili maisha yasonge. Arsenal wanataka kuziba pengo la namba 8, 9 na 10. So the idea ni kwamba timu ijishikilie sasa hivi isurvive hii storm kisha January ijipange upya zaidi.
Ni disappointment kufungwa especially aliyekua juu kabisa alikua amesuluhu ila hili tulilopoteza ni pambano vita bado inaendelea. So bado tunapambania hii vita.
The idea is to win.
WeMove
Lakini liverpool ulipigwa saba mkuu ..Arse8 kachezea kipigo cha kawaida sana
Chugga usijisahaulishe kwamba Liverpool alikuwa Villa Park na Arsenal alikuwa Emirates
Napoli alikufunga mara mbili. Arsenal akamfunga Napoli mara mbili.
Hesabu za If A nini nini haziapply sana kwenye mpira, boxing na mapenzi.
Huhuhuh. Villa wamejua kunifurahisha aiseeeMimi wakati yupo Emery akamleta Pepe nilisema ni bora angekuja Ziyech. Kwahiyo siyo siri kwamba Ziyech ni kipaji.
Hili garasa Willian kuja Arsenal ni kama garasa Thiago kuja Chelsea. Kichekesho ni kwamba mechi alizocheza Willian kashatoa assissts na goli na hajatoa boko lililopelekea goli.
Ila Thiago kashatoa boko na kashadeclare "No defending vibes only"
Fact nyingine ni kwamba tushachukua points tatu kwa Villa kupitia free kick na mpigaji akiwa Auba. Labda garasa Barkley mlilotema lije kubutua likiwa mbali ila likiwa neutralized sioni tukikwama.
Lakini liverpool ulipigwa saba mkuu ..Arse8 kachezea kipigo cha kawaida sana😀😀😀
Mchezaji wetu naona anatuwakilisha vizuri sana
Barkley anatuwakilisha vizuri sansHuhuhuh. Villa wamejua kunifurahisha aiseee