Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Juzi nilisema huu uzi hauna wachangiaji wa timu zingine kwakua, nanukuu, "We are not fvcking up our opportunities" nikasema tumedeal vizuri na hizi ishu tumewapiga kufuli ila game na villa inakuja kichezesha kufuli, and it did.

So ghafla unaona watu wanafurika na kila mmoja anakuja kutoa stori yake. Wote hao wana stress na timu zao wanataka kuja kupunguzia hasira zao kwenye huu uzi.

Mimi roho itaniuma tukitolewa Europa. Hili battle la ligi ni refu bado muda unatosha kwa waliofungwa saba na sita kurudiwa na huo mzimu at the mean time tujaribu tu kurekebisha tulipomess up.

Kufuli linahitajika tena. Kisha utawaona waleeeee kwa mbaaaali wanaelea elea tu hawawezi kucomment chochote.

Kufuli.
 
  • Thanks
Reactions: Ccc
Willian naona kama ni galasa hivi
Sizinga Tutaanza kuongea lugha moja Sasa sisi Chelsea tunamfahamu Sana willian, Willian anatabia ya kukiwasha pale tu anapotaka kuongeza mkataba mpya aftermath kiwango chake kinashuka + na umri umeenda ndio maana Chelsea hawakutaka kumpa mkataba wa miaka 3 aliyokuwa akitaka so mmepigwa kweupe mzee
 
Kikosi kilichocheza OT ndiyo kimeanzishwa leo.

Elneny na Partey wapo katikati
Mlitaka kupaki bus hata na kwa aston villa? Arteta ana mbinu nzur anapopak bus shida huja akiwa nyumban anatakiwa kufunguka hapo ndipo vichapo vinatokea
 
Katika game za msimu huu tulizofungwa na ikaniuma ni ya liva.

Hatukuonyesha quality kivyovyote. Laca akakosa two big chances. Hii haijaniuma koz hata hizo chances hakuna, ni kumiliki mpira tu na shots za hapa na pale.

Tukicheza na timu zinazopaki basi ndiyo unaona pengo la namba nane kwa uwazi kabisa.

Insane
Vip kuhusu Willian? Mzee baba tuliwaambia kuhusu Willian na Chelsea walikuwa si wajinga kumuacha huyo mchezaji
 
Msimu huu timu zote zile big 6 zinastruggle kua kwenye form ndiyo sababu unakuta City kala 5 na Liva kala 7 na baadhi ya mashabiki wanaamini Arsenal anaweza pambania ligi (kinyume na maono ya kocha)

So hakuna timu ambayo imekua kwenye smooth run so far, huyu aliyetufunga leo ametoka kupoteze games mbili mfululizo. Sisi tulipokua tunakutana na Man tulikua tumetoka kupoteza games tatu mfululizo.

Kila timu inahaha kuipata form.

Na zote zinalenga Januari ifike zizibe viraka ili maisha yasonge. Arsenal wanataka kuziba pengo la namba 8, 9 na 10. So the idea ni kwamba timu ijishikilie sasa hivi isurvive hii storm kisha January ijipange upya zaidi.

Ni disappointment kufungwa especially aliyekua juu kabisa alikua amesuluhu ila hili tulilopoteza ni pambano vita bado inaendelea. So bado tunapambania hii vita.

The idea is to win.

WeMove
Chelsea anashinda game mfululizo na Jose Mourinho with many goals so usijipe hope
 
Mimi wakati yupo Emery akamleta Pepe nilisema ni bora angekuja Ziyech. Kwahiyo siyo siri kwamba Ziyech ni kipaji.

Hili garasa Willian kuja Arsenal ni kama garasa Thiago kuja Chelsea. Kichekesho ni kwamba mechi alizocheza Willian kashatoa assissts na goli na hajatoa boko lililopelekea goli.

Ila Thiago kashatoa boko na kashadeclare "No defending vibes only"

Fact nyingine ni kwamba tushachukua points tatu kwa Villa kupitia free kick na mpigaji akiwa Auba. Labda garasa Barkley mlilotema lije kubutua likiwa mbali ila likiwa neutralized sioni tukikwama.
Huhuhuh. Villa wamejua kunifurahisha aiseee
 
Lacazette Missed an absolute sitter again. Needs a spell out of the team and to change his middle name to Chamakh.
 
Aubameyang


No service. No shots. We're wasting a world class centre-forward in the wrong position.
 
Willian

Genuinely: giving him a three year deal is like committing to pay £100,000 a week for a 28 inch genuine Sorny television for the same period. Abysmal. Missed a great chance in the first half, and slashed one wide in the second half too. He needed a big performance tonight, and this was his worst game so far
 
Back
Top Bottom