Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
So ghafla unaona watu wanafurika na kila mmoja anakuja kutoa stori yake. Wote hao wana stress na timu zao wanataka kuja kupunguzia hasira zao kwenye huu uzi.
Kufuli linahitajika tena. Kisha utawaona waleeeee kwa mbaaaali wanaelea elea tu hawawezi kucomment chochote.
Kufuli.
Umeandika kwa experience.
Hivi kuna watu wanawazidi washabiki wa Arsenal kuzunguka kwenye threads zisizo zao?




