Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Uchovu. Formation anayotumia na anavyotaka mpira wa mpera mpera dakika tisini over time timu inakosa intensity. Tired minds tired legs.

Mwanzo walikua wanashinda na nyavu zao zinaguswa kwakua beki mbovu sasa hivi wana beki mbovu iliyochoka na forward iliyochoka
Mnamkazia mzeebaba Man u mnakuja lalwa na dgo AstonVilla 🤣🤣🤣🤣
 
Haijawah kutokea kwa Wenger na Unai (tuliyemtukana)mechi 8 tumeshapoteza 4 je katika 38 tutapoteza ngapi?kwa mpira huu narudia na December ndo inakuja Arteta hatamaliza mwaka may be board ione aibu kumtimua EPL ya sasa si ya zamani timu zimejipanga na kwa mpira wetu I swear Arteta December ataiona chungu kuna Everton Southampton Spurs Chelsea Wolves 🙄 😑 nataka kucheka ila nalia katika Arteta December hatamaliza Trust me
Fanya vyote mkuu, cheka na lia🤣🤣🤣🤣
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20201109-021729_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20201109-021729_WhatsApp.jpg
    57.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20201109-021951_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20201109-021951_WhatsApp.jpg
    50.2 KB · Views: 5
Mwanzo mwa ligi mlivyo anza kushinda mfululizo mkajiona nyie ndio nyie kenge nyie. Nawakumbusha December ndio hiyo inakuja yaani hapo unacheza leo baada ya kesho tena unacheza mbona mtaomba pooo na kina pepe wenu. Zaizi Willian anajuta kutosajili miaka miwili
 
Back
Top Bottom