Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Haijawah kutokea kwa Wenger na Unai (tuliyemtukana)mechi 8 tumeshapoteza 4 je katika 38 tutapoteza ngapi?kwa mpira huu narudia na December ndo inakuja Arteta hatamaliza mwaka may be board ione aibu kumtimua EPL ya sasa si ya zamani timu zimejipanga na kwa mpira wetu I swear Arteta December ataiona chungu kuna Everton Southampton Spurs Chelsea Wolves 🙄 😑 nataka kucheka ila nalia katika Arteta December hatamaliza Trust me
 
Hatutaki kuelewa,kama kufungwa umeshafungwa hata ukisemaje kipigo hakitobadilika kamwe
Bob uko bize kutype juu ya kufungwa kwa timu ambayo kocha wake kaomba misimu mitatu ya kujiandaa!!!?
kwa hiyo sasa ndo unasema kocha ameomba misimu mitatu ya kujiandaa ila mkishinda mnasahau kama kuna jambo kama ilo
 
Yule mkata umeme hayupo nini
Screenshot_20201026-055943_Twitter.jpg


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Msimu huu timu zote zile big 6 zinastruggle kua kwenye form ndiyo sababu unakuta City kala 5 na Liva kala 7 na baadhi ya mashabiki wanaamini Arsenal anaweza pambania ligi (kinyume na maono ya kocha)

So hakuna timu ambayo imekua kwenye smooth run so far, huyu aliyetufunga leo ametoka kupoteze games mbili mfululizo. Sisi tulipokua tunakutana na Man tulikua tumetoka kupoteza games tatu mfululizo.

Kila timu inahaha kuipata form.

Na zote zinalenga Januari ifike zizibe viraka ili maisha yasonge. Arsenal wanataka kuziba pengo la namba 8, 9 na 10. So the idea ni kwamba timu ijishikilie sasa hivi isurvive hii storm kisha January ijipange upya zaidi.

Ni disappointment kufungwa especially aliyekua juu kabisa alikua amesuluhu ila hili tulilopoteza ni pambano vita bado inaendelea. So bado tunapambania hii vita.

The idea is to win.

WeMove
 
Back
Top Bottom