Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona timu za leo zimeingia na mfumo wa jana wa Arsenal (3-4-3)

Kweli Arsenal ni mfano wa kuigwa!
Sio arsenal ndo imeiga huo mfumo kuifunga city?? Kaangalie mechi zote za msimu huu (ambazo Man Utd alishinda dhidi ya Man City)....Hapo majibu utakuwa nayo kuwa mliiga mfumo kuwafunga city
 
Back
Top Bottom