Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu mimi nimekupata, na pia nakubaliana na wewe kuwa jana mlitengeneza nafasi zaidi na magoli mliyopata yalitokana na ubora wenu kuliko uzembe wa mpinzani

Lakini haimaanishi timu ambazo huwa zinapaki basi huwa hazitengenezi nafasi, timu zinazopaki basi huwa zinatengeneza nafasi japo chache (hasa za kushtukiza/counter attack) na kwenye kumalizia wanakuwa clinical zaidi

Kiukweli kwa kikosi chenu dhidi ya City jana ile ndio ilikuwa best option, kucheza na City kama wanavyocheza wao ni kujitafutia mauaji ya bure, next season mkiimarisha kikosi mnaweza kujaribu kucheza nao hivyo japo bado quality ya City ni kubwa sana
Sawiah, umemaliza kila kitu
 
Sawa mkuu, lakini sidhani kama tunawapita nyinyi kule jukwaani kwenu kwa mimajimaji😂😂😂😂

Haters bwana😂😂😂 duh.

Nimemuuliza Castr swali, baada ya yeye kulalamika kwamba mnamaliza MB zake kwa kuomba ufafanuzi wa kitu kimoja mara nyingi.

Which means mnachelewa kuelewa anachofafanua.
 
''OLIVER HOLT AT WEMBLEY STADIUM: Manchester City earned a momentous reprieve in one competition last week but in the FA Cup semi-final at Wembley with only 90,000 empty seats as judge and jury, they could not escape their sentence. The Court of Arbitration for Sport might have allowed them back into the Champions League for the next two seasons but Arsenal showed them no mercy here. Their shock 2-0 victory was a triumph of uncharacteristic resilience in defence, led by a brilliant display from David Luiz, and of clinical finishing from Pierre-Emerick Aubameyang, who scored goals in each half to dump City out of the competition they won last year by trouncing Watford in the final.
😂😂😂😂😂 Alafu mtu a nakuja kusema hii ni bahati kheeeeee kheeeeee kheeeeeeeee
 
Kwanini mkuu? dah umenifanya nicheke Sana, Sina Hata interest na siasa ndugu yangu,
Naona uko vizuri kwenye kucounter mada. Kiukweli kama unaweza zuga hata na udiwani. Yaani counter zako za mada ni zile hazijibu mada ila unampa mleta mada kitu kipya cha kujadili.
 
Kwa atakaye kuja fainali namna ya kutufunga ni moja, afunge goli nyingi kutuzidi sisi ila sio kuzuia nyuki na ukicheki Auba yupo fire na Lacca amerudi form nw.
Sisi tunakupiga za fasta afu tunajaza beki imeisha hiyo,We ucheze mwingi utajua mwenyewe, tukutane next season
 
Kwa atakaye kuja fainali namna ya kutufunga ni moja, afunge goli nyingi kutuzidi sisi ila sio kuzuia nyuki na ukicheki Auba yupo fire na Lacca amerudi form nw.
Sisi tunakupiga za fasta afu tunajaza beki imeisha hiyo,We ucheze mwingi utajua mwenyewe, tukutane next season
Mkishinda mna mwembembwe... Subir mfungwe muone... Mnaanza kocha hawez kupanga kikosi

Mara wachezaji wetu sio wa ushindani.. Ila all in all hongereni sana
 
Nimemuuliza Castr swali, baada ya yeye kulalamika kwamba mnamaliza MB zake kwa kuomba ufafanuzi wa kitu kimoja mara nyingi.

Which means mnachelewa kuelewa anachofafanua.
Kwa kuchelewa na kushindwa kuelewa umuhimu wa Henderson pale Liver na kila siku Klopp anawapa clues na kuwauliza maswali ya multiple choice kila wiki Ina maana nyie mtakuwa mmeadvance mimajimaji😂😂😂😂
Yani maProf wa maji hahahahaaaaaa,

Kwakifupi hakuna aliyeomba ufafanuzi,
 
Kwa atakaye kuja fainali namna ya kutufunga ni moja, afunge goli nyingi kutuzidi sisi ila sio kuzuia nyuki na ukicheki Auba yupo fire na Lacca amerudi form nw.
Sisi tunakupiga za fasta afu tunajaza beki imeisha hiyo,We ucheze mwingi utajua mwenyewe, tukutane next season
Hatuna cha kupoteza
 
''While Pierre-Emerick Aubameyang was the hero at the other end with the two goals, Luiz put in a superb display, getting his head to many crosses and making one noticeable block from a Sterling effort. The Brazilian centre-back made a disastrous cameo just over a month ago in the Premier League against Pep Guardiola's side, gifting Raheem Sterling the opening goal right on half time before managing to get himself sent off for a last-man challenge on Riyad Mahrez. But following his Wembley heroics a month on, Luiz appeared to want to set the record straight, and stated he used his experience to come back from that nightmare situation at the Etihad.''

Wacha timu ijengwe na vijana wetu wa zamani tutafika tu. Kwenye fainali ni kujipanga vizuri tu. Hii itawapa motisha hasa baada ya kuwatoa kamasi Loserfools na Mancs.
 
''While Pierre-Emerick Aubameyang was the hero at the other end with the two goals, Luiz put in a superb display, getting his head to many crosses and making one noticeable block from a Sterling effort. The Brazilian centre-back made a disastrous cameo just over a month ago in the Premier League against Pep Guardiola's side, gifting Raheem Sterling the opening goal right on half time before managing to get himself sent off for a last-man challenge on Riyad Mahrez. But following his Wembley heroics a month on, Luiz appeared to want to set the record straight, and stated he used his experience to come back from that nightmare situation at the Etihad.''

Wacha timu ijengwe na vijana wetu wa zamani tutafika tu. Kwenye fainali ni kujipanga vizuri tu. Hii itawapa motisha hasa baada ya kuwatoa kamasi Loserfools na Mancs.
Timu itasimama tu
 
Naona uko vizuri kwenye kucounter mada. Kiukweli kama unaweza zuga hata na udiwani. Yaani counter zako za mada ni zile hazijibu mada ila unampa mleta mada kitu kipya cha kujadili.
Unavyokuja ndio unavyopokelewa mkuu, utaombaje nyoka upewe samaki?

Sasa kama mtu majibu anayo mwenyewe lakini anajitoa akili kwanini asipewe assignment nyingine!!!
 
Kazi ya Niles Jana ilikuwa kudeal na mahrez tu

Arteta alishtuka game na wolves ,Adama alitusumbua sana, hasa anapocheza na mtu mwenye mguu wa kushoto ,alipoingia Niles ukawa mwisho wa Adama

Sasa Jana Upande wa kushoto city , wana mahrez ,Bernardo na foden

So direct Arteta akamuacha nje Saka na Kola ambao wanatumia Left foot na kumtumia Niles ambaye ni right footer.,ambaye kwenye One against one , Hawapiti kirahis

Mahrez alifanikiwa Ku cut in moja na ndio shuti on target pekee la city .

Akaingia foden ,naye akahama upande


Hii tactical , shida ilikuja ule upande ni mzuri kupiga kross kwa left footer ,ndio maana Niles kross zake hazikuwa na macho.
Sahihi kabisa. Nothing to add
 
Back
Top Bottom