Wazee wa tatu tatuTunaenda kutangaza msiba leo pale Wembley..
Majirani mnakaribishwa..kutoa pole
Man u 1-2 Chelsea
#CFC![]()
Wazee wa tatu tatuTunaenda kutangaza msiba leo pale Wembley..
Majirani mnakaribishwa..kutoa pole
Man u 1-2 Chelsea
#CFC![]()




Tatizo ni kwamba na nyinyi mkibakwa mnabakwa tatu😀😁😂Tumetumia zote ila kuna moja ilipasuka![]()
Hahaha angalia yasiwakute ya manyumbuTatizo ni kwamba na nyinyi mkibakwa mnabakwa tatu![]()



Kazi aliyoifanya Peter Cech pale BAKU tunategemea na Luiz ataifanya pia apo Wembley..
Kila la kheri Chelsea..
#CFC![]()


jamaa una maneno


Huyu alishakufanya wewe bwege yaani anajipigia tu. Ushawahi kua na mwenza we ni kumuita tu hana longolongo? Ndiyo Chelsea kwa Man u sijui jana ilikuaje mkamgeuzia kibaoKazi aliyoifanya Peter Cech pale BAKU tunategemea na Luiz ataifanya pia apo Wembley..
Kila la kheri Chelsea..
#CFC![]()
Hahahaha umefika hatua una vimba kiasi hichiMimi nawaza kushindana na wababe sasa hivi, kina Bayern, liver na City sio ww Mason mount![]()



Linapokuja suala la kombe, sisi Chelsea hatujui tunacheza na nani ...sisi ni kubutua tu.Huyu alishakufanya wewe bwege yaani anajipigia tu. Ushawahi kua na mwenza we ni kumuita tu hana longolongo? Ndiyo Chelsea kwa Man u sijui jana ilikuaje mkamgeuzia kibao






Tunawakumbusha tu ..sisi sio wajinga kuwauzia wachezaji kama hao...jamaa una maneno
![]()






HahahahahaMuangalie huyu ametoka wapi? Baba yake anaitwa nani? Mama yake anaitwa nani? Kwanini anaropoka hivi?
"I miss Arsenal because I left my heart in there... I gave my life to this club for 22 years. Every minute of my life was dedicated to this club... I support Arsenal. It will be forever my club." - Arsene Wenger
Subiri August 1 ,Nasemaje hilo kombe laFA mtatuachia hamtuachii?
Msitake tutumie nguvu nyingi. Sawa!!
Unapoteza muda hapo kwa hilo bichwa majimajiWewe huna habari yoyote unayoijua, njoo ukamilishe ratiba tu,
Chama limeshakuwa kubwa hili
#Coyg![]()

Huyu kijana namuona wa kawaida tuAccording to @abolapt .
. it is very likely that Arsenal's official offer will arrive before Tuesday for Joelson .. Arsenal wants to speed up the completion of the deal before an official move from Barcelona and Juventus .. Information confirms that Kia Jorabchian and the player's father are working on completing the deal.View attachment 1511649