Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Castr, ushindi wa Arsenal ni wa bahati...kinyume cha bahati ni mipango

Unless uniambie plan yenu ilikuwa ni kupata bahati
Nikiwa naijaj Arseanl hua naifananisha na Arsenal ambayo Granit alikua ni mpiga pasi nyingi kuliko mchezaji yeyote premier league.

Arsenal iliyokua inamiliki mpira na kufunguka.

Game ya Liva tulishinda ila Liva alimiliki mpira kwa 80% leo tumeshinda ila tumechezeshwa mno nusu uwanja.

Kwahiyo nikisema ushindi wetu ni wa bahati ni kwa mazingira hayo
 
Chief mimi nimesema Arsenal kuscore ilikua plan ila City kutukosa ndiyo bahati yenyewe.

Jana hata VAR imekua upande wetu.

Sijui wewe shabiki wa timu gani ila msimu uliopita Arsenal tulicheza na Man u tukatok sare ya mbili mbili. Uliona Arsenal ilivyomtafuta Man U?

Mashuti, mipango, technic n.k. so Man U akaokoka na wote tukaja humu kusema bahati haikua yetu as we put everything on the line.

Jana City kafanya na kahustle kama Arsenal alivyohustle ile siku na Man U na City hajashinda, kwanini tusione ni bahati yetu wao kufeli kila plan yao?

Yaani bando langu la 500 mnataka liishe kuwaelezea kitu kimoja tu? Msinifanyie hivyo.
Lbd km tunatofautiana kutafsili neno bahati kwenye soka. Neno bahati kwenye soka huja tu pale timu moja inapokuwa inafanya makosa mengi lkn timu pinzani inashindwa kutumia nafasi za hayo makosa kuscore.

Mfano kwa mechi ya jana kama arsenal wangefanya makosa mengi na city wakakosa nafasi za wazi hapo tungesema arsenal walikuwa na bahati lkn badala yake city hawakupata clear chance to score. Kwa maana hiyo hatuwezi sema arsenal alikuwa na bahati kwa kutofutwa na city. Nadhani unaweza kuwa umenielewa kiongozi
 
Mimi bado nashangaa tu wanaodai Tunazawadiwa magoli ya bahati ,

Naam

Leo ni Game Kama ya 5 Nashuhudia Arsenal Wakinufaika na Magoli ya Kukabia Juu yaan Pressing Ambayo Nadhani Wengi Wetu Wanadhani Wapinzani Wanakosea Bahati Mbaya

Hiki ni Kitu Wanafanyia Sana Mazoezi na Nafikiri Kadri muda Unavyokwenda Kinazidi Kutunufaisha Maana Kuweza Kumpokonya Mpira Mpinzani Kwenye Eneo Lake ni Rahisi Sana Kumuadhibu Maana Kwanza Anakuwa Hayupo Kwenye Eneo Sahihi na Huku Mhusika Ukiwa Karibu na Goli

Mara Nyingi Sana Liverpool na Man City Wamenufaika Sana na Pressing Katika EpL sababu Kubwa Ikiwa ni Namna ya Ku press na ikumbukwe Si Kila Team inaweza Kufanya Hivi kwa Ufasaha.
Arsenal tunanufaika sana na kasi ya Pepe na Auba kwnye kupress, na mara nyingi makosa yanafanywa na Opponent kama CF atakuwa dogo Nketiah anaspeed pia
 
Castr, komenti yako kuhusu plan ya Arsenal, hapa umelalamika kukosa plan
Boss tena hili nitalisimamia ni kweli game na Liva hakukua na plan ya ushindi. Tofauti na jana.

Magoli tuliyoscore jana tungescore same goals kwa Liva ningekukubalia kua tumepaki basi ila techs zimetupa points.

Ila jana magoli yetu yalikua planned. Cross na through pass zimetupa magoli ukiachia hivyo kuna through pass Auba alihisi ni off side akashut as a last resort, Pepe alipigiwa through pass ukamgonga kisiginoni akijiandaa kusprint, whereby angefanikiwa angebaki yeye na kipa, pia Auba alimpa Pepe pasi nje ya 6 ila Pepe akachelewa kuufuata.

So jana tulikua na vision kuliko game ya Liva. Kwa Liva magoli yote yalikua mtu katoa pasi hovyo na Laca akapokea. Ndiyo nikauliza bila vile kulikua na plan nyingine iliyoonekana? Na hakuna aliyejibu.
 
Lbd km tunatofautiana kutafsili neno bahati kwenye soka. Neno bahati kwenye soka huja tu pale timu moja inapokuwa inafanya makosa mengi lkn timu pinzani inashindwa kutumia nafasi za hayo makosa kuscore.

Mfano kwa mechi ya jana kama arsenal wangefanya makosa mengi na city wakakosa nafasi za wazi hapo tungesema arsenal walikuwa na bahati lkn badala yake city hawakupata clear chance to score. Kwa maana hiyo hatuwezi sema arsenal alikuwa na bahati kwa kutofutwa na city. Nadhani unaweza kuwa umenielewa kiongozi
Nimekuelewa baba. Siku njema
 
Kwa ule mpira na makosa mliofanya jana.basi ombeni sana fainal mkutane na chelsea na sio united
 
Boss tena hili nitalisimamia ni kweli game na Liva hakukua na plan ya ushindi. Tofauti na jana.

Magoli tuliyoscore jana tungescore same goals kwa Liva ningekukubalia kua tumepaki basi ila techs zimetupa points.

Ila jana magoli yetu yalikua planned. Cross na through pass zimetupa magoli ukiachia hivyo kuna through pass Auba alihisi ni off side akashut as a last resort, Pepe alipigiwa through pass ukamgonga kisiginoni akijiandaa kusprint, whereby angefanikiwa angebaki yeye na kipa, pia Auba alimpa Pepe pasi nje ya 6 ila Pepe akachelewa kuufuata.

So jana tulikua na vision kuliko game ya Liva. Kwa Liva magoli yote yalikua mtu katoa pasi hovyo na Laca akapokea. Ndiyo nikauliza bila vile kulikua na plan nyingine iliyoonekana? Na hakuna aliyejibu.
Arteta anaijenga timu na naamini endapo atapewa wachezaji wenye quality anayoitaka tutakuwa vema, kila jambo kwa hatua
 
1595143383926.png


1595143421166.png


1595143443381.png


1595143466795.png


1595143498275.png


1595143534178.png


1595143568098.png


Peps amepanda pipa kwenda kutambika Spain.
Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mkuu mimi nimekupata, na pia nakubaliana na wewe kuwa jana mlitengeneza nafasi zaidi na magoli mliyopata yalitokana na ubora wenu kuliko uzembe wa mpinzani

Lakini haimaanishi timu ambazo huwa zinapaki basi huwa hazitengenezi nafasi, timu zinazopaki basi huwa zinatengeneza nafasi japo chache (hasa za kushtukiza/counter attack) na kwenye kumalizia wanakuwa clinical zaidi

Kiukweli kwa kikosi chenu dhidi ya City jana ile ndio ilikuwa best option, kucheza na City kama wanavyocheza wao ni kujitafutia mauaji ya bure, next season mkiimarisha kikosi mnaweza kujaribu kucheza nao hivyo japo bado quality ya City ni kubwa sana


Boss tena hili nitalisimamia ni kweli game na Liva hakukua na plan ya ushindi. Tofauti na jana.

Magoli tuliyoscore jana tungescore same goals kwa Liva ningekukubalia kua tumepaki basi ila techs zimetupa points.

Ila jana magoli yetu yalikua planned. Cross na through pass zimetupa magoli ukiachia hivyo kuna through pass Auba alihisi ni off side akashut as a last resort, Pepe alipigiwa through pass ukamgonga kisiginoni akijiandaa kusprint, whereby angefanikiwa angebaki yeye na kipa, pia Auba alimpa Pepe pasi nje ya 6 ila Pepe akachelewa kuufuata.

So jana tulikua na vision kuliko game ya Liva. Kwa Liva magoli yote yalikua mtu katoa pasi hovyo na Laca akapokea. Ndiyo nikauliza bila vile kulikua na plan nyingine iliyoonekana? Na hakuna aliyejibu.
 
1595143741128.png

''OLIVER HOLT AT WEMBLEY STADIUM: Manchester City earned a momentous reprieve in one competition last week but in the FA Cup semi-final at Wembley with only 90,000 empty seats as judge and jury, they could not escape their sentence. The Court of Arbitration for Sport might have allowed them back into the Champions League for the next two seasons but Arsenal showed them no mercy here. Their shock 2-0 victory was a triumph of uncharacteristic resilience in defence, led by a brilliant display from David Luiz, and of clinical finishing from Pierre-Emerick Aubameyang, who scored goals in each half to dump City out of the competition they won last year by trouncing Watford in the final.
 
Back
Top Bottom