DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,870
Timu inapopata matokeo mazuri ni vyema kufurahi mkuuChief furaha imekuzidia
Timu inapopata matokeo mazuri ni vyema kufurahi mkuuChief furaha imekuzidia
Ni hivi. Magoli yetu yalikua ni plan.Wewe kama sio shabiki wa arsenal basi, mambo ya u commentator hatutaki. Sis tunajua arteta aliingia na game plan hiyo.
makosa yao hayo, usiite bahati yetu. Auba au Pepe angepaisha ungesema bahati yao City au uzembe wa wachezaji wetu?!?
Mbona wamekaangwa game zote Tatu Hata share hawajapata? Au bahatiHaina viungo na wingers wakali kama Chelsea
Jamaa yuko vizuri alikua anadaka game za Europa. Nafikiri Arsenal imebarikiwa makipa na forward kipindi hiki.Tuuzieni huyu kipa. Jana ndio mara ya kwanza kumuona huyu kipa. Anasafiri sio mchezo. Halafu Ana mwili wa kibabe. Huyu akiendelea kudaka atatisha.
Kabisa mkuuFuraha haswa kutinga fainali.
Game ya Liver huku up a mkuu? Hapo Kuna Kepa wa5 😂😂 I terms of qualityJamaa yuko vizuri alikua anadaka game za Europa. Nafikiri Arsenal imebarikiwa makipa na forward kipindi hiki.
Shukrani mkuu, wewe ndio maana mipesa haikauki kwakoUshindi wenu jana haukuwa wa BAHATI, kocha na wachezaji walikuwa wanajua wanafanya nini. Kila mchezaji ametekeleza majukumu yake ipasavyo. Even luiz jana ameperform vizuri sana.
Mlivyopata goal la kwanza nikaangalia mwendelezo wenu wa kucheza, mlicheza vizuri sana mlistahili kushinda. City walipanic kila mbinu waliojaribu ilikwama.
Haikuwa bahati ilikuwa game plan nzuri. HONGERENI SANA.
Hata liver walishawahi kulalamikiwa kua VAR inawapendelea. Game plani yetu ilikua nzuri sana, kama vipi tukubali kutokukubaliana, maana arteta na wachezaji wanaiwaza fainali mida hii, wewe unashupalia makosa yaliyopita. Hata simba inalalmikiwa kubebwa na magoli ya offside. Arteta anajua, apewe quality player ikiwezekana msimu ujao furaha irudi mazimaNi hivi. Magoli yetu yalikua ni plan.
Ila sisi kukoswa hata baada ya maboko ya wazi, VAR kutufavour wakati siyo kawaida, mashuti yao kupaa hata wakiwa ndani ya 18 ndiyo bahati ninayoisemea hapa.
Ooohh kumbe inauma, Sasa uache kuitaga wenzio takataka kama unahitaji heshima😂😂😂😂Mkuu sijawahi kukuita dogo tuheshimiane tafadhali
Hayo maneno tuSiku hiyo nitakupiga mpaka uchanganyikiwe
Sijasema Arteta hajui na sijawahi kusema hivyo. Nilisoma taarifa moja ilisema kuna almost 235£ Million zinazoweza kutumika kusajili bila kubreach financial fair play rule.Hata liver walishawahi kulalamikiwa kua VAR inawapendelea. Game plani yetu ilikua nzuri sana, kama vipi tukubali kutokukubaliana, maana arteta na wachezaji wanaiwaza fainali mida hii, wewe unashupalia makosa yaliyopita. Hata simba inalalmikiwa kubebwa na magoli ya offside. Arteta anajua, apewe quality player ikiwezekana msimu ujao furaha irudi mazima
Cash kama Cash nipigieni Man u LeoUshindi wenu jana haukuwa wa BAHATI, kocha na wachezaji walikuwa wanajua wanafanya nini. Kila mchezaji ametekeleza majukumu yake ipasavyo. Even luiz jana ameperform vizuri sana.
Mlivyopata goal la kwanza nikaangalia mwendelezo wenu wa kucheza, mlicheza vizuri sana mlistahili kushinda. City walipanic kila mbinu waliojaribu ilikwama.
Haikuwa bahati ilikuwa game plan nzuri. HONGERENI SANA.


Kama mtu wa soka hasa huwezi kucomment vile, hakumbuki kipindi cha Wengrr tuliuchezea Sana mpira na daily tunaongoza kwa umiliki lakini United walikuwa wanatufunga kwa plan hizihizi ambazo Arteta anatumia,Mdau anataka ule mpira wa kufunguka mposses sana yaani.
Sasa umchezee liva au city hivyo na wachezaji wetu hawa si unatafuta kifo tu.
Aelewe kuna plan A,plan B,plan C n.k unaweza tumia yoyote kutegemeana na timu utakayokutana nayo.
Na Ile mipenati Yao wanayopewa isiyo na kichwa wala miguuCash kama Cash nipigieni Man u Leo
Sema tatizo VAR![]()
Sijasema Arteta hajui na sijawahi kusema hivyo. Nilisoma taarifa moja ilisema kuna almost 235£ Million zinazoweza kutumika kusajili bila kubreach financial fair play rule.
Kwakua kila mtu anaelewa kitu kwa utofauti nakubaliana na wewe kua tukubaliane kutokukubaliana.
Dogo Unajua soka kweli wewe? Soka ni mchezo wa makosa, kosea uadhibiwe... Kwani huko shule unaenda kusomea ujinga?? 😂😂Bila ya mabeki kufanya makosa forward gani ingeshinda?Mkuu ww ni genius achana na Hao matakataka aka mashabiki maandazi. Yes ni kweli kabisa ile back pasi ya vvd ndio ilifanya mpate goli mwingine anakwambia ni mbinu za Mwalimu hichi ni kituko
Watu waliojaa ushabiki hawawezi kukuelewa unapofanya objective analysis.
Hata kama timu imeshinda, kama kuna makosa yamefanyika yanatakiwa kuzungumziwa ili yawe addressed in future.
Huu ugomvi uko kila jukwaa la michezo, kuna wale wanazi hawataki timu ikosolewe.
Huyo jamaa unayebishana naye hatakaa akuelewe.
Nakuheshimu Sana mkuu, ila umekuja kwa speed kali bila kujua lengo LA kila mtu hapa, wewe unalozungumza sikupingi lakini angalia dhamira ya unayemdefend inafanana na yako?Watu waliojaa ushabiki hawawezi kukuelewa unapofanya objective analysis.
Hata kama timu imeshinda, kama kuna makosa yamefanyika yanatakiwa kuzungumziwa ili yawe addressed in future.
Huu ugomvi uko kila jukwaa la michezo, kuna wale wanazi hawataki timu ikosolewe.
Huyo jamaa unayebishana naye hatakaa akuelewe.