OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Unauliza swali gani? Umesahau europa tulikufanya nin?Yeyote atayekuja, kwani Hao Chelsea na City yupi unaona mkali?
Unauliza swali gani? Umesahau europa tulikufanya nin?Yeyote atayekuja, kwani Hao Chelsea na City yupi unaona mkali?
Manyumbu yale huwa mnayaonea sana ...wacha tuje sisiManyumbu united wakija ndo itakuwa njia rahisi ya kutwaa hili kombe
Mimi sikutegemea kushinda jana. Dish langu limezingua nkatoka kuelekea chimbo namwambia wife ikifika half time nipo nyuma kwa difference ya 2 goals narudi zangu.Nyie jamaa mlivyotufunga ile juzi nikasema labda timu yetu imechoka baada ya kuchukua ubingwa.
Ila mlichofanya kwa City, hapana aisee. Hii siyo Arsenal ninayoijua.
Nimekwambia Europa mlikuwa na mamluki Cech ndie siri ya kupoteza Ile game,Unauliza swali gani? Umesahau europa tulikufanya nin?
Ndio hiki kitu ambacho mimi Nashangaa na wengine wanasema ni bahati... 😂😂😂😂Kuna watu wanapenda sana tunavyo chezea tatu tatu,hivi lini Liverpool,Man Utd,Chelsea waliwahi kucheza mpira mzuri mbele ya City,wote wanavizia vizia counter ndio wawafunge City.
Sisi City anatufunga sababu aina ya uchezaji wetu na wao ni sawa,ila wao ni bora zaidi yetu,msimu uliopita kwa style yetu ya kupaka rangi tume chezea 4 Etihad,3 Emirates tukaja tukapigwa 3 nusu fainali ya Carling Cup.
Msimu huu kwa mpira wetu huu wa kupaka Randi tumepigwa tatu nje ndani.Jana tumeamua kuja na game plan nyingine ambazo zinatumika sana na Liver,Chelsea,Man Utd mnasema tumecheza vibaya,yaani nyie mnaona raha sisi kufungwa kila siku.
Pale uingereza hamna timu inayoweza kushindana na City kwa kucheza mpira mzuri.Ndio hiki kitu ambacho mimi Nashangaa na wengine wanasema ni bahati... 😂😂😂😂
Mimi sikutegemea kushinda jana. Dish langu limezingua nkatoka kuelekea chimbo namwambia wife ikifika half time nipo nyuma kwa difference ya 2 goals narudi zangu.
Nilipoona kikosi AMN anacheza na Mahrez nkajua hii game kocha amepatia techniqie. Panaweza pakawa na chochote hapa.
Basi Mungu si Athumani, jana nkapata furaha ya kuangalia chama langu tena
Acha sababu za kijinga, ngoja kwanza nimng'oe nyumbu kichwa alafu wewe utafwata..Nimekwambia Europa mlikuwa na mamluki Cech ndie siri ya kupoteza Ile game,
HaswaaaaSasa hivi nimeacha kuangalia mpira huku nikiwa na matokeo mfukoni.
Maana msimu unavyomalizika kuna matokeo ya ajabu yanaibuka.
Ila mmejitajidi sana hizi game 2, maana hakuna aliyewapa nafasi kabisa ya kushinda.
Ila we jamaa bwana.
City katushambulia.
Kapiga shots.
Mustafi katoa boko.
Bellerini katoa boko.
VAR imetuachia (nimeshangaa)
Martinez kaokoa shot pekee on target ya Mahrez ambayo ilionyesha ingekua goli.
Sterling, Silva, Laporte, Foden, Debruyne, Mendy, wote hawa mashuti yao ama yalipaa au yalimgonga mtu yakatoka nje.
Unataka bahati gani zaidi ya hii?
Wakati hayo yanatokea ulikua unafumba macho?
Pale uingereza hamna timu inayoweza kushindana na City kwa kucheza mpira mzuri.
Wanatupigia kelele wakati timu zao tunaziona wakicheza na City ,possession 30+% ila matokeo wameshinda wao.
Unacho hitaji kwenye mpira ni nini hasa? Ball possession plus defeat au a Win with reasonable ball possession? Arsenal vs Totteham ball possession ilikuwa mpaka 80% na Arsenal kafungwa. Your logic does essentislly not prevail in a morden football.....Pale uingereza hamna timu inayoweza kushindana na City kwa kucheza mpira mzuri.
Wanatupigia kelele wakati timu zao tunaziona wakicheza na City ,possession 30+% ila matokeo wameshinda wao.



Kasome #84827Unacho hitaji kwenye mpira ni nini hasa? Ball possession plus defeat au a Win with reasonable ball possession? Arsenal vs Totteham ball possession ilikuwa mpaka 80% na Arsenal kafungwa. Your logic does essentislly not prevail in a morden football.....