DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,870
Wewe na kusubiri kwa hamu nikutandike😂😂😂The best parking bus team in the world
Wewe na kusubiri kwa hamu nikutandike😂😂😂The best parking bus team in the world
Nimekuona ktk comment flani unaamini uchawi katika soka kwa kurefer game yenu dhidi ya barca,
Wewe na kusubiri kwa hamu nikutandike![]()
Arsenal? Hauimaanishi Man U na Chelsea kweli?The best parking bus team in the world
Bichwa box, Bichwa mimaji maji,Sawa Amba ruti
Wewe na kusubiri kwa hamu nikutandike![]()
Hata tukiwa tunacheza game na unamkosa kosa mtu kuna usemi hua tunatumia wa "Hauna shanga kweli wewe?" Au "Ebwana kweli uchawi upo" ni usemi umezagaa pale kwenye game.Kuna misemo ikizungumzwa au kuandikwa, haimaanishi kile kilichoandikwa.
Siyo kila mmoja ana akili za kuelewa ujumbe unaoandikwa kama fumbo.
Kwahiyo fumbo like lilikuwa Lina maana gani mkuu? Lifumbue hapa maana wengine hatujui hizo fasihi, kiswahili nilikiachaga form2Kuna misemo ikizungumzwa au kuandikwa, haimaanishi kile kilichoandikwa.
Siyo kila mmoja ana akili za kuelewa ujumbe unaoandikwa kama fumbo.
Hahaha sasa hapo ndipo watatofautiana na mimi sana. Kwasababu kuna mmoja hapo kaandika "... wenzako wanawaza fainali.."
Lakini muulize kama anajua kuna nafasi tatu za magoli zilijitokeza, moja ya Auba na mbili za Pepe kama aliziona.
Mkumbushe kua Mustafi alitoa boko kwa Sterling kuunasa mpira ndani ya 6 na kudondoka juu.
Mkumbushe kua Bellerin alitoa pasi kwa Sterling nje kidogo ya 18.
Mashuti ya Sterling, Mahrez, Foden, DeBruyne, Laporte, Mendy, Silva, Gundogan na mengine yamepigwa ndani ya 18, nje ya 6 na nje kidogo ya 18.
Watu wa hivi hua wanaona ushindi tu mengine yote wanayavalia miwani ya mbao.
Hata tukiwa tunacheza game na unamkosa kosa mtu kuna usemi hua tunatumia wa "Hauna shanga kweli wewe?" Au "Ebwana kweli uchawi upo" ni usemi umezagaa pale kwenye game.
Ila wote tunajua kua huyu mtu hana shanga na siyo mchawi. So ikatokea shabiki wa Man City akasema 'Jana Arteta alikuja na shanga' kuna mtu ataamini kweli Arteta alienda na shanga?
Wewe unazungumzia kitu tofauti na alichomaanisha mdau, wewe upo kwenye utani na jamaa kasema ni fumbo....Hata tukiwa tunacheza game na unamkosa kosa mtu kuna usemi hua tunatumia wa "Hauna shanga kweli wewe?" Au "Ebwana kweli uchawi upo" ni usemi umezagaa pale kwenye game.
Ila wote tunajua kua huyu mtu hana shanga na siyo mchawi. So ikatokea shabiki wa Man City akasema 'Jana Arteta alikuja na shanga' kuna mtu ataamini kweli Arteta alienda na shanga?
Na wewe leo una mhemko wa kutupondaNimemshangaa sana jamaa, anyway nahisi labda ni mihemuko ya kutetea timu.
Ukisema hivi wanakuita mnazi😂😂😂Mimi bado nashangaa tu wanaodai Tunazawadiwa magoli ya bahati ,
Naam
Leo ni Game Kama ya 5 Nashuhudia Arsenal Wakinufaika na Magoli ya Kukabia Juu yaan Pressing Ambayo Nadhani Wengi Wetu Wanadhani Wapinzani Wanakosea Bahati Mbaya
Hiki ni Kitu Wanafanyia Sana Mazoezi na Nafikiri Kadri muda Unavyokwenda Kinazidi Kutunufaisha Maana Kuweza Kumpokonya Mpira Mpinzani Kwenye Eneo Lake ni Rahisi Sana Kumuadhibu Maana Kwanza Anakuwa Hayupo Kwenye Eneo Sahihi na Huku Mhusika Ukiwa Karibu na Goli
Mara Nyingi Sana Liverpool na Man City Wamenufaika Sana na Pressing Katika EpL sababu Kubwa Ikiwa ni Namna ya Ku press na ikumbukwe Si Kila Team inaweza Kufanya Hivi kwa Ufasaha.
Kuna low cross ilipigwa na Mendy nafikiri Tierney aliintercept vizuri maana ilikua inamkuta Sterling.Kieran Tierney has won Arsenal's Player of the Month award for June #AFC
Tierney got 40% of the fan votes, ahead of Bukayo Saka in second and Granit Xhaka in third.
Congratulations Kieran Tierney well deserved.
#Arsenal View attachment 1510805
Wewe unazungumzia kitu tofauti na alichomaanisha mdau, wewe upo kwenye utani na jamaa kasema ni fumbo....
Na fumbo maana yake ni tungo inayotumia lugha mficho lakini ikiwa na maana fulani....
Ili uelewe yakupasa ulifumbue kwanza,
Tumsubiri bwana Don Clericuzio atufumbue
Na wewe leo una mhemko wa kutuponda
Ukisema hivi wanakuita mnazi😂😂😂
Arsenal? Hauimaanishi Man U na Chelsea kweli?