Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 338
Asante mkuu nipo nasherehekea ushindi,na imani ligi ndo imefikia patamu. Huyu mskotishi (Coach wa Birmingham fc) si wakumuamini sana kama Bruce wa sunderland,hupenda sana kuuza mechi kwa baba yao Sir Alex wakidhani atawachia u coach Man u, lakini nina imani Birmingham wakikaza kesho msimamo wa ligi utakuwa mtamu sana.Mkuu upo? karibu sana kwenye sikukuu yetu hapa jukwaani leo.