whooooooooooooops, usingizi sasa waweza kuja, asavaliSafi sana la pili hilo
whooooooooooooops, usingizi sasa waweza kuja, asavaliSafi sana la pili hilo
adui muombeee njaa lakini sio kifowazeee wa abrahamovic bado wameshikwa shati
nafikiri AW anamuhifadhi for the most tough games facing us aheadSasa amlete walcott kufunga biashara na pace yake.
jaribu hiii Watch Live Wigan vs ArsenalSalama wakuu !! naombeni website nami ni enjoy game? kwani nimejaribu kila web ninazozijua zinakatakata sana.
MyP2P.eu :: English Premier League - Wigan Athletic vs. ArsenalSalama wakuu !! naombeni website nami ni enjoy game? kwani nimejaribu kila web ninazozijua zinakatakata sana.
itakuwa mbaya kumfunga the blues halafu tushindwe kumfunga huyu wa leo
Hehehe...Mkuu aw anahofia uchovu na majeruhi si unajua timu kama hizi hazikawii kutaka sifa.biashara asubuhi mkuu,huoni itakuwa mbaya zaidi tukipoteza hii na hizo zingine lol?
hilo linawezekana na ndio maana narudia kuwaaambia wale ambao wanafikiri Arsenal itaendelea kuwa ile ile ya misimu iliyopita wanakosea, tuna uwezo wa kubeba hata vikombe 3 msimu huuNashukuruni wakuu, Tuombe dua ushindi wa leo muhimu tena kwa magoli zaidi ya Matano ili tukae kileleni.
hii game ya leo inanikumbusha game moja ya Arsenal na Newcastle, it was horribledakika zimekwenda wenger mlete nasri au walcott waje kufunga biashara ngoma bado ngumu hii.
Anatafuta soko huyo.ndio tabia yetu mkuu. leo hapa nzogbia ndio mwiba huyu tukimzima itakuwa safi sana huwa anatusumbua sana.