Masanilo,peasant,rev kishoka na wengine woteeeeee wa darajani njoooni mtupe heshima yetu hapa.
Weweeeeeeeeeeeeeeeeeeee point tatu muhimu sanaaaaaaaaa.
Why BBC huwa wanachelewa sana Ku update TABLE on Arsenal wins??? Haters?? Ila chunguza Man u au Chlsea wanaposhinda huwa ni Live Updates.......
Hawa Chelsea hata kule kwenye Thread yao Hawapo....Huu sio Ushabiki mzuri...Mbona sisi Huwa tupo hapa kwenye raaha na Shida?? Wao wanataka Raha tu....wakipata kashida kidogo hawacomment chochote.....Kwa style hii ushabiki Unakua haunogi....koz inakua ni sisi kwa sisi....waje hapa tupashane habari za Bao 3 na point 3...Next game wanachza na Bolton, na wakipigwa tu....Bolton wanaenda Above them......Itakua BYE BYE ya Carlo Ancelloti.......
Labda watakuja baada ya donge kupungua maana leo walishazitia 3 points kibindoni kwa kujua sisi ni uchochoro wao. Hawakujua na sisi tulikuwa na mpango mwingine. Congrats AW! this is a big morale booster for the remaining games
Mbona tupo mkuu, au unachagua post za kusoma??!!
Umekuja soon Ndg yangu..na post yako uliyotuma ni Hii "Duuh! Leo tumecheza hovyo sana. Hongera zenu Arsenil, you deserve the win." then ukaongeza hii "Sijui kwanini wachezaji wetu wamepotezamipira kiasi hicho, yaani hata body language yao inaonyesha kama hawako uwanjani vile. Nasuburi hizo kelele za fat Arses hapa jukwaani sasa." sasa rudi kwenye thread yenu angalia post za mwanzo kabla ya hizi zako kaka....HAHAHAHAHAAAA ila am HAPPY UPO at least 4 now....
Tumejaa tele mkuu. Hongera zenu kwanza kwa ushindi, we played like shit....but don't count us out of it, though it gonna be tough.
Baada Ya hapo Nianze kwa salam "MAMBO PEASANT?" hope u wont mind to answer me right.................................
Kutoka kwenye Thread ya Chelsea........
There are currently 11 users browsing this thread. (4 members and 7 guests)
Questt Peasant Mtazamaji Priga
Hapo nitoe mimi......So mnabaki only three Members.....Ndiyo tele hii??????
Na hii ya ARsenal Je???
There are currently 30 users browsing this thread. (15 members and 15 guests)
Questt mzozaji Hey Kweli Bonge Kibunango Mahesabu Ng'wanza Madaso Richard Baba Mkubwa Arsene Wenger+ Jakathesi. Eqlypz Manda Mokoyo
Mdogo Theo won this game for u..alikuwa mwiba kwelikweli.