Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Nawatakia wadau wote wa soka Christmas njema na mwaka 2011 wenye mafanikio.
Wazee wote wa darajani Stamford, Rev Masa, EL NINO, Rev Kishoka, Sanda Matuta, Ab-Titchaz, AljuniorTz na Invisible, bila kusahau wakongwe wa Old Trafford, Manda, Belo, Eqlypz, Idimi na Ngongo, pia washika bunduki wa Emirates, Arsene Wenger, Mbu, Kweli, Wacha1, Balantanda, Baba Mkubwa, Genekai, Questt, Bubu Ataka Kusema na Ng'wanza Madaso,....mzee Shedafa wa WHL na Acid wa Anfield na wengine wote ambao sikuweza kuwakumbuka kwenye post hii, I wish you and your loved ones a Merry Christmas and Happy New Year.
![]()
Asante sana jirani......Nami niungane nawe kuwatakia Heri ya Krismas na Mwaka Mpya wadau wote wa jukwaa hili Pendwa hapa jamvini,Kila la heri na mafanikio kwa vilabu vyenu kwa mwaka 2011