Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wewe ni mtu wa mipasho na vijembe vya uswahilini kama wanawake fulani wa mitaani wale wa kuminya pua wanaongea kama cherehani

Hapa tunajadili kauli ya kusema kuwa Lacazette na Jesus wapo level moja kwa kauli ya yule shabiki mwenzio wa Arsenal ila wewe kama kawaida ya wapuuzi huwa hawajibu hoja kazi yao kushambulia mtu kama mtu (personality) ooh sijui,mara mi mtu wa kubeti sijui mimi shabiki wa hovyo wa Liverpool na nimejulia Liverpool kwa kubeti

Hovyo kabisa
nimekupa bonge la tusi kubwa kuliko yote unayoyajua.........mpumbavu mkubwa maneno hayo kawaambie wazazi wako nyumbani nyau wewe,sasa ulitaka ukiongea upuuzi wako tukusapoti?shubamitt alafu jiheshimu wewe
 
nimekupa bonge la tusi kubwa kuliko yote unayoyajua.........mpumbavu mkubwa maneno hayo kawaambie wazazi wako nyumbani nyau wewe,sasa ulitaka ukiongea upuuzi wako tukusapoti?shubamitt alafu jiheshimu wewe
Ndio uwezo wako wa kufikiria ulipoishia

Aibu ni jina lako ni Abdullah/Abdul
 
Mpaka sasa deadwoods aliyebaki ni mustafi na anahitajika na timu za Italy

Baada ya hapo itabidi tusubiri Maingizo mapya ya wachezaji wenye quality ,sio wakuokotaokota tena

Everton Soares,Wilfred zaha, Dayot upemacano, Sangare, haya ni Baadhi majina yaliyo mezani kwa RAUL Sanheil

BORA TUBAKI NA WACHEZAJI 15 ILA WAWE NA POTENTIAL ....


Kwaheri Henrink Micky , japo muda wako uliisha ,ila umeondolewa mapema .View attachment 1195629
Mick ni deadwood?? Apo mumefeli..
 
My player ratings for #ARSTOT
• Laca unbelievable goal & class all round play
• Xhaka poor off the ball but ball distribution key in some of our attacks
• Guendouzi was incredible and my MOTM
• Luiz and Sokratis made individual errors but bossed Kane for majority of 90 .View attachment 1195655
Hahahahaha hii ndo fest XI ya arsenal?? Hapa darajani nusu yao wataanzia sub

Kila la kheri Chelsea
 
Hahahhaha aweke yeye , Ana leta utan na lacazette .
Uyu timu ya taifa hana namba unamfanisha na Gabriel Jesus?? Acha utani bwana..

Geroud ni bora Mara kumi ya Lacca..

Bisha..

Kila la kheri Chelsea
 
Lacazette, a 28 years old striker has 70 appearances for Arsenal with 29 goals

Jesus, JUST A 22 years old striker has 69 appearances for Manchester City with 28 goals
Wakibisha apa tena basi ..utakuwa ni unazi..

Kila la kheri Chelsea
 
Jibu hoja

Morata wa Chelsea nae alikuwa anafunga goli 13 za ligi sawa na anazofunga huyo Lacazette , ila kwa kuwa Chelsea ni kama wako juu yenu kihadhi walimuona Morata Garasa licha ya kufunga magoli sawa na huyo Lacazette na kumtoa kwa mkopo and finally kumuuza
Hivi kumbe Morata 24 years, alikuwa na magoli sawa tu au kumshinda uyu lacca 29years!!! Ina maana Morata alikuwa na uhakika wa kupata namba Arsenal.. Wakati lacazzete angeanzia benchi apo darajani ...

Ndio maana Deschamps haoni umuhimu wake apo France..

Kila la kheri Chelsea
 
So sad tumeshindwa toa ata mchezaj mmoja wa kugombania fifa 11, ata auba?
uyo Auba akija Chelsea au Man united atapata iyo nafasi ..akiendlea kubaki tu arsenal ataishia kucheza kucheza fest XI ya Unai tu..
 
PEPE KA FAKE INJURY?

Nicolas Pépe suffered an injury with his club, and informed the Ivory Coast FA on Wednesday evening. He has headed back to London. [Ivory Coast FA]
Uyo anaisaliti timu yake ya taifa kama Auba tu ..laana za wananchi wao zinawatafuna..
 
uyo Auba akija Chelsea au Man united atapata iyo nafasi ..akiendlea kubaki tu arsenal ataishia kucheza kucheza fest XI ya Unai tu..
Chelsea hii inayoenda kucheza championship mwakan? Na man hawa ambao mwaka huu nafas ya 6 ndio itakuwa achievement yao kubwa?
 
Back
Top Bottom