Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Firmino alianzia kucheza eneo la Winga ya kushoto enzi ya Brendan Rodgers yaani namba 11, chini ya Klopp sidhani kama ana misimu zaidi ya mitatu au inayofika mitatu kama Central StrikerJomba vip firmino nae n kilaza? maana nae goli zake n hzohzo 10+ kwa msimu. Msmu alio funga goli nying n wa 17/18 goli 15 mechi 37, nje ya yapo n goli 12 kushuka chini. Vp n morata mwingine?
Xhaka akielezewa tuhuma dhidi yake zinazoendelea: "bila shaka tuhuma mara kwa mara zipo hapa,zinatokea hasa katika mchezo wa mahasimu wa london Ya kasikazini,Nafikili ulikua mchezo mzuri,kweli nimefanya makosa yaliyosababisha penalt lakini ukiangalia tulistahili tushinde mchezo ule"
Xhaka:
"tulikua na nafasi nyingi za kushinda lakini huo ndio mchezo wa mpira wa miguu,Hakuna mtu yeyeto anaezungumzia zile nafasi nyingi tulizokua tunapata na kuzipoteza kufunga,Hakuna anaezungumzia jinsi tulivyozipoteza, mda wote wanazungumzia makosa(mistakes) yaliyotokea"


Abadilishiwe no ikiwezekana acheze mbili, nakumbuka monreal kuna kipind alikua anacheza tatu backup ya gibbs alikua uchochoro huyo kila akipangwa lazma achome ,. Then wenger akaanza kumchezesha cb adi akaiva ata alipo rud lb akawa anafanya vzur mpaka leo. So ijalibiwe kwa mustaf pia you never know inaweza ika work akarud kwenye kiwango chake.Mustafi amekosa timu, klabu imehangaika kumtafutia hadi klabu za mkopo zimekosekana
Sasa anakula pesa tu bila jasho. Atacheza hata under-18 kule akaanze kujifunza upya kukaba
Hahaaa, duuh kweli umemchokaMustafi apewe kazi ya kuokota mipira uwanjani
Alikua ana cheza winga ya kushoto?, c ndo hii anayo cheza salaha sasa hivi au? mbona yy hakufunga kama anavyo fanya salaha right now. False 9 c ata Messi n false 9? Ronaldo je? mbona wao wanatupia sana? una mkumbuka robin van persie wa arsenal( a.k.a hakunaga) au fernando torres wa liver(elnino) c na wao walikua wanacheza kama force 9 mbona wao walipata golden boot, why not firmino? Okey kama bado hujaielewa point yangu n hvi firmino n mchezaj bora pale liverpool kwa sasa ila hafungi sana kwasababu ubora wake haupo kwenye kufunga. Yule n defending minded striker kaangalie stats zake za tackle utakuta anawazd DM kibao, kaangalie chance anazo watengenezea zile mtu mbili pale mbele, n nyingi. so hafungi sana lakn unakuta bado mchango wake n mkubwa na thaman yake kama best striker inabaki palepale. Kwahyo kutoka kwa firmino utajfunza kwamba kucheza kama false 9 haikuzuii ucfunge magoli mengi na hapohapo kutofunga magoli mengi pia hayakufanyi ucwe best striker kama utasimama kwenye ubora wako,. Sasa ukija kumwangalia lacazette vzur utaona hana utofaut sana na firmino katka uchezaj ingawa wana ubora tofauti. Timu ikiwa inashambuliwa lacca ua anashuka chini kabsa kuja kukaba na n maranying tu ana win mipira na kuanzisha mashambulizi then ndo anarud ku cover nafas yake hii n tofauti na center foward ambaye yy anapaswa ku ran pale pale mbele zero distance na centre defender za wapinzan kwa hii muangalie auba, vardy, aguero, samatta. Timu iki win mpira ndo wanafunguka kwa ajili ya accounter attack. Laca hayuko hivo yy n complete striker ana majukumu mengi uwanjan n fighter anakaba anapga chenga ana hold mipira anasubr winger zfunguke anatoa pasi then anachek nafac gan iko loose ana cover co kukimbilia tu kufunga. Magoli yake sasa karbu yote n ya ku convert yaan kufunga kwake co mpaka ipatkane clear chance yy ana score katka mazngra ya no chance to score inabak tu kua surprise kwa fans. Sasa kwa quality kama hzo akikupa 10+ una shida gan,? Morata alikua hana quality zngne za ku offer kwenye timu zaidi ya kufunga na bado alikua anakosa clear chance nyingi sana so huez mfananisha na laca,. Shangaa laca na 10+ yake lakn bado msimu ulio pita ndo alikua mchezaj bora wa club mbele ya auba mwenye golden boot. so goal sio kila kitu ila una offer nn cha ziada ndo kinacho matter zaidi.Firmino alianzia kucheza eneo la Winga ya kushoto enzi ya Brendan Rodgers yaani namba 11, chini ya Klopp sidhani kama ana misimu zaidi ya mitatu au inayofika mitatu kama Central Striker
Kuhusu magoli ni kweli hata mimi naona Firmino anafungaga magoli machache kwa kweli , ila ukiangalia mfumo wa Liverpool Firmino ni false striker, false center Forward yaani tisa ya uongo yaani anacheza between lines tofauti na nafasi halisi ya Center Forward(anaecheza namba 9) halisi tofauti na kina Morata,Lacazette ambao wanasimama tisa yenyewe (real center Forward)
Na niliongea vile sababu jamaa huyo Aroon Torreira tuliwahi kubishana humu nikisema Lacazette mchango mdogo sana kwa namba tisa kufunga goli hizo chache anazofunga
Ila hao wote wanafunga goli chache, Firmino tunaweza kumback sababu anacheza tisa ya uongo which means mfumo wa Klopp anavyomtumia Firmino ni kama aina Fulani ya 4-4-2 vile au inataka kufanana fanana na Diamond midfield
Rekebisho:Salah ni winga ya kulia, ama tuseme anatokea kulia na si kushotoAlikua ana cheza winga ya kushoto?, c ndo hii anayo cheza salaha sasa hivi au? mbona yy hakufunga kama anavyo fanya salaha right now. False 9 c ata Messi n false 9? Ronaldo je? mbona wao wanatupia sana? una mkumbuka robin van persie wa arsenal( a.k.a hakunaga) au fernando torres wa liver(elnino) c na wao walikua wanacheza kama force 9 mbona wao walipata golden boot, why not firmino? Okey kama bado hujaielewa point yangu n hvi firmino n mchezaj bora pale liverpool kwa sasa ila hafungi sana kwasababu ubora wake haupo kwenye kufunga. Yule n defending minded striker kaangalie stats zake za tackle utakuta anawazd DM kibao, kaangalie chance anazo watengenezea zile mtu mbili pale mbele, n nyingi. so hafungi sana lakn unakuta bado mchango wake n mkubwa na thaman yake kama best striker inabaki palepale. Kwahyo kutoka kwa firmino utajfunza kwamba kucheza kama false 9 haikuzuii ucfunge magoli mengi na hapohapo kutofunga magoli mengi pia hayakufanyi ucwe best striker kama utasimama kwenye ubora wako,. Sasa ukija kumwangalia lacazette vzur utaona hana utofaut sana na firmino katka uchezaj ingawa wana ubora tofauti. Timu ikiwa inashambuliwa lacca ua anashuka chini kabsa kuja kukaba na n maranying tu ana win mipira na kuanzisha mashambulizi then ndo anarud ku cover nafas yake hii n tofauti na center foward ambaye yy anapaswa ku ran pale pale mbele zero distance na centre defender za wapinzan kwa hii muangalie auba, vardy, aguero, samatta. Timu iki win mpira ndo wanafunguka kwa ajili ya accounter attack. Laca hayuko hivo yy n complete striker ana majukumu mengi uwanjan n fighter anakaba anapga chenga ana hold mipira anasubr winger zfunguke anatoa pasi then anachek nafac gan iko loose ana cover co kukimbilia tu kufunga. Magoli yake sasa karbu yote n ya ku convert yaan kufunga kwake co mpaka ipatkane clear chance yy ana score katka mazngra ya no chance to score inabak tu kua surprise kwa fans. Sasa kwa quality kama hzo akikupa 10+ una shida gan,? Morata alikua hana quality zngne za ku offer kwenye timu zaidi ya kufunga na bado alikua anakosa clear chance nyingi sana so huez mfananisha na laca,. Shangaa laca na 10+ yake lakn bado msimu ulio pita ndo alikua mchezaj bora wa club mbele ya auba mwenye golden boot. so goal sio kila kitu ila una offer nn cha ziada ndo kinacho matter zaidi.

Asipoelewa na hapa atakuwa ni wale wanafunzi slow learner, mimi nakuomba endelea kumpa dozi hii pengine ubongo wake utafunguka sasaAlikua ana cheza winga ya kushoto?, c ndo hii anayo cheza salaha sasa hivi au? mbona yy hakufunga kama anavyo fanya salaha right now. False 9 c ata Messi n false 9? Ronaldo je? mbona wao wanatupia sana? una mkumbuka robin van persie wa arsenal( a.k.a hakunaga) au fernando torres wa liver(elnino) c na wao walikua wanacheza kama force 9 mbona wao walipata golden boot, why not firmino? Okey kama bado hujaielewa point yangu n hvi firmino n mchezaj bora pale liverpool kwa sasa ila hafungi sana kwasababu ubora wake haupo kwenye kufunga. Yule n defending minded striker kaangalie stats zake za tackle utakuta anawazd DM kibao, kaangalie chance anazo watengenezea zile mtu mbili pale mbele, n nyingi. so hafungi sana lakn unakuta bado mchango wake n mkubwa na thaman yake kama best striker inabaki palepale. Kwahyo kutoka kwa firmino utajfunza kwamba kucheza kama false 9 haikuzuii ucfunge magoli mengi na hapohapo kutofunga magoli mengi pia hayakufanyi ucwe best striker kama utasimama kwenye ubora wako,. Sasa ukija kumwangalia lacazette vzur utaona hana utofaut sana na firmino katka uchezaj ingawa wana ubora tofauti. Timu ikiwa inashambuliwa lacca ua anashuka chini kabsa kuja kukaba na n maranying tu ana win mipira na kuanzisha mashambulizi then ndo anarud ku cover nafas yake hii n tofauti na center foward ambaye yy anapaswa ku ran pale pale mbele zero distance na centre defender za wapinzan kwa hii muangalie auba, vardy, aguero, samatta. Timu iki win mpira ndo wanafunguka kwa ajili ya accounter attack. Laca hayuko hivo yy n complete striker ana majukumu mengi uwanjan n fighter anakaba anapga chenga ana hold mipira anasubr winger zfunguke anatoa pasi then anachek nafac gan iko loose ana cover co kukimbilia tu kufunga. Magoli yake sasa karbu yote n ya ku convert yaan kufunga kwake co mpaka ipatkane clear chance yy ana score katka mazngra ya no chance to score inabak tu kua surprise kwa fans. Sasa kwa quality kama hzo akikupa 10+ una shida gan,? Morata alikua hana quality zngne za ku offer kwenye timu zaidi ya kufunga na bado alikua anakosa clear chance nyingi sana so huez mfananisha na laca,. Shangaa laca na 10+ yake lakn bado msimu ulio pita ndo alikua mchezaj bora wa club mbele ya auba mwenye golden boot. so goal sio kila kitu ila una offer nn cha ziada ndo kinacho matter zaidi.
Torres na Van Persie hawakuwa false 9 bwana labda umewachanganya majina. False nine kwa kiingereza wanasema yuko deep tofauti na tisa mwenyewe ambae anakabwa kabisa na Center backs. False nine huwa yuko between lines kwa maneno mengine. Messi na hata Sterling huyu wa chini ya Guardiola ndio wamewahi chezeshwa false 9Alikua ana cheza winga ya kushoto?, c ndo hii anayo cheza salaha sasa hivi au? mbona yy hakufunga kama anavyo fanya salaha right now. False 9 c ata Messi n false 9? Ronaldo je? mbona wao wanatupia sana? una mkumbuka robin van persie wa arsenal( a.k.a hakunaga) au fernando torres wa liver(elnino) c na wao walikua wanacheza kama force 9 mbona wao walipata golden boot, why not firmino? Okey kama bado hujaielewa point yangu n hvi firmino n mchezaj bora pale liverpool kwa sasa ila hafungi sana kwasababu ubora wake haupo kwenye kufunga. Yule n defending minded striker kaangalie stats zake za tackle utakuta anawazd DM kibao, kaangalie chance anazo watengenezea zile mtu mbili pale mbele, n nyingi. so hafungi sana lakn unakuta bado mchango wake n mkubwa na thaman yake kama best striker inabaki palepale. Kwahyo kutoka kwa firmino utajfunza kwamba kucheza kama false 9 haikuzuii ucfunge magoli mengi na hapohapo kutofunga magoli mengi pia hayakufanyi ucwe best striker kama utasimama kwenye ubora wako,. Sasa ukija kumwangalia lacazette vzur utaona hana utofaut sana na firmino katka uchezaj ingawa wana ubora tofauti. Timu ikiwa inashambuliwa lacca ua anashuka chini kabsa kuja kukaba na n maranying tu ana win mipira na kuanzisha mashambulizi then ndo anarud ku cover nafas yake hii n tofauti na center foward ambaye yy anapaswa ku ran pale pale mbele zero distance na centre defender za wapinzan kwa hii muangalie auba, vardy, aguero, samatta. Timu iki win mpira ndo wanafunguka kwa ajili ya accounter attack. Laca hayuko hivo yy n complete striker ana majukumu mengi uwanjan n fighter anakaba anapga chenga ana hold mipira anasubr winger zfunguke anatoa pasi then anachek nafac gan iko loose ana cover co kukimbilia tu kufunga. Magoli yake sasa karbu yote n ya ku convert yaan kufunga kwake co mpaka ipatkane clear chance yy ana score katka mazngra ya no chance to score inabak tu kua surprise kwa fans. Sasa kwa quality kama hzo akikupa 10+ una shida gan,? Morata alikua hana quality zngne za ku offer kwenye timu zaidi ya kufunga na bado alikua anakosa clear chance nyingi sana so huez mfananisha na laca,. Shangaa laca na 10+ yake lakn bado msimu ulio pita ndo alikua mchezaj bora wa club mbele ya auba mwenye golden boot. so goal sio kila kitu ila una offer nn cha ziada ndo kinacho matter zaidi.
Umepotea jukwaa"Manchester United are going to be behind Manchester City, Liverpool, Chelsea and Tottenham." Haya maneno yamesemwa na Paul Scholes pale Skysports.




Yah n kweliRekebisho:Salah ni winga ya kulia, ama tuseme anatokea kulia na si kushoto
Ila kama hajakuelewa hapa achana nae, umemfafanulia vizuri zaidi.. morata huyu wa kufunga kwa kichwa, mguu unamshinda.
Sijapotea, sema hujajiuliza kwanini Scholes haoni kama Arsenal itamaliza juu ya Man U?Umepotea jukwaa