Ukweli ni kwamba Arsenal itamaliza juu ya Spurs, Chelsea na Man U.. Bahati mbaya kwenu Holding na Tierney wanarudi uwanjani soon.. Na kwa vile David Luiz ni mtaalam wa pasi na kuanzisha mashambulizi, atapandishwa mbele kidogo na kuwa DM, halafu tutaona mtapita wapi.. Kiukwel sasa hivi tunapoteza nexhi jwa sababu ya backline.. Uongizi tayari unalijua hilo na linafanyiwa kazi na January Upamecano anatua Emarates, halafu mmalize juu yetu, hebu kuwa serious kidogo buana!....Sijapotea, sema hujajiuliza kwanini Scholes haoni kama Arsenal itamaliza juu ya Man U?