Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
We've sold so many players, and I'm happy because it has created space,for January purchase
Hujajibu maswali mawili ya juu. Umeshafeli mtihani kama timu lako lilivyo bingwa wa kufeli kwenye kila kituuna epl ngapi?ze blauz![]()
Nasikia ni miaka 15 sasa imepita?una epl ngapi?ze blauz![]()


Acha usumbufu kijana , chelsea mnaelekea kushuka daraja msimu huuHujajibu maswali mawili ya juu. Umeshafeli mtihani kama timu lako lilivyo bingwa wa kufeli kwenye kila kitu
Me sijamuelewa kocha alivomtoa nacho wakat kwenye ile nafasi bado sijaona mtu wa kuimudi vizur kama nacho halafu bado mky ni wa muhimu sana japo haonekani kubadilikaHuyu aondoke tu mkuu, jana kanikera sana atacheza hata Nelson.
Tulia ivyo ivyo December yutaelewana nan anashuka darajaAcha usumbufu kijana , chelsea mnaelekea kushuka daraja msimu huu
Sawa ndugu yangu , tusubiri ,Tulia ivyo ivyo December yutaelewana nan anashuka daraja