Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

3-1 Emirates bado dakika 15 inaonekana ndo tumelala tena!!!
 
mzee hile schedule ya mwanzo mkaanza kupiga kelele mnacheza playstation sasa shughuli meiona leo.
Naona ile schedule nyepesi mmeianza vizuri sana hapo Emirates, we put 6 aginst West Brom....hahahahahahahha!!!!!!!!!
 
Wacha, Wenge Musica, Game Poleni, kumbe nanyi mna vidonda:confused2: Heri siye tumebanwa na timu kubwa, nyie na vibonde? Nao Maini wamekabwa koo... tuwasubiri kiManuManu:becky:
 
Mitumba?? Kosceilny, Chamakh na Squillaci wote ni quality mkuu, tunahitaji kipa tu January na hela ipo.
Mkubwa are you serious?

Arsenal 2 West Brom 3 ,tena nyumbani
 
asanteni sana wachezaji wa arsenal kwa kunipa warning mapema hili nijue niweke wapi first aid kit yangu.
 
asanteni sana wachezaji wa arsenal kwa kunipa warning mapema hili nijue niweke wapi first aid kit yangu.

wewe na balatanda huwa nina waheshimu sana michango yenu! ligi ndo kwanza mechi ya sita! I hate wacha1 boflo ni mjinga sorry for being harsh
 
wewe na balatanda huwa nina waheshimu sana michango yenu! ligi ndo kwanza mechi ya sita! I hate wacha1 boflo ni mjinga sorry for being harsh

Oooh no Rev, maneno makali sana haya!..Wacha1 is a good chap!!punguza munkari, huu ni upinzani wa keyboard tu mchungaji! Amani iwe nawe..
 
Back
Top Bottom